ghetto masii
Member
- Mar 19, 2017
- 57
- 52
zitatumia umeme na diesel.. tafuta kisingizio kingineKwa hii nchi naweza kuwaambia wasiwe hata na hofu biashara itafanyika tena zaidi ya hapa.
Treni hizo zinaweza kuja zikakosa umeme au zikikwama porini mabasi yatakuwa yamepata biashara nzuri.