Naskia nauli za fast jet ni kama za mabasi. kwanini usipande ndege fast jet?Mie mwenyewehayo mabasi sina hamunayo kabisaaaaa nlifika mwnza saa 9 usiku sitaki temna,
Hakuna ndege ya bei hiyo mkuu kwa usafiri wa dar mwanza,
Greenstar ilikua imejaa?
Jamani jamani! Mwenzenu mnanitisha. Hapa tayari nna tiketi ya hilo bus, jumapili mungu akipenda naenda nalo mbeya. Na ndio mara yangu ya kwanza kusafiri nalo.
ni kweli nauli ya fast jet ni hiyo ukiongeza na kodi ni kama 40s but unatakiwa kukata tkt miez miwili kabla
mwenye haya mabasi ni jirani yangu hapa misugusugu. ni mshirikina usipime kila mwaka lazima ndugu yake anaekaa kwake afe.