mustry75
Member
- Sep 23, 2014
- 82
- 89
Habari za muda huu wakuu wa JF,
Leo nimekutana na huu wizi ambao si mpya ila umeanza kurudi, vijana umakini unahitajika mnapokuwa safarini hasa mabasi ya mikoani yanayo chukua abiria,
Leo nilifanya safari ya kuenda Tanga na basi la Tash Riff ya jioni ndani ya basi kulikuwa na abiria wengi kama ilivyo kawaida watu wana panda na kushuka kigiza kinaingia.
Mpaka tuna fika maemeo ya kange akashuka kaka mmoja na dada mmoja, wakati wanashuka kuna dada akapiga kelele ya mwizi kumpigia yule kaka lakini yule dada Alikuwa kachoka watu wakamkimbilizia yule kaka wakakuta kachukua simu smart phone ya yule dada then wakamuachia kwakua ni usiku kama saa 2 safari ikaendelea yule dada akiulizwa anasema alimpa arushe salio mara akasinzia, nikama alie mpa dawa ya usingizi ila alikuwa haija mkaa sawa akashtuka,
Safari tukaenda tulipo fika mjini sasa tunashuka ile siti alio kaa yule dada kuna kijana wa makamo. Like 26 au 28 yaani yuko hoi nizaidi ya usingizi tumeamsha abiria wote yaani nikaput hatari yaani hajiwezi yuko usingizini. Chakusikitisha yule dada amemuibia kila kitu na alikuwa na simu kubwa yule kijana kwakweli sijui walimpeleka wapi maana watu walishuka wote kila anavyo amshwa hawez kunyanyua kope yuko hoi.
Zingatio:
Unapo safiri ukikaa siti na dada au kaka hata awe mzuri kama nani zaidi ya salamu usijenge mazoea yatawakuta mabaya kwa Tanga nasikia haya ni matukio yakawaida sasa ila mjifunze kujikaza mtaibiwa mpaka soksi.
Leo nimekutana na huu wizi ambao si mpya ila umeanza kurudi, vijana umakini unahitajika mnapokuwa safarini hasa mabasi ya mikoani yanayo chukua abiria,
Leo nilifanya safari ya kuenda Tanga na basi la Tash Riff ya jioni ndani ya basi kulikuwa na abiria wengi kama ilivyo kawaida watu wana panda na kushuka kigiza kinaingia.
Mpaka tuna fika maemeo ya kange akashuka kaka mmoja na dada mmoja, wakati wanashuka kuna dada akapiga kelele ya mwizi kumpigia yule kaka lakini yule dada Alikuwa kachoka watu wakamkimbilizia yule kaka wakakuta kachukua simu smart phone ya yule dada then wakamuachia kwakua ni usiku kama saa 2 safari ikaendelea yule dada akiulizwa anasema alimpa arushe salio mara akasinzia, nikama alie mpa dawa ya usingizi ila alikuwa haija mkaa sawa akashtuka,
Safari tukaenda tulipo fika mjini sasa tunashuka ile siti alio kaa yule dada kuna kijana wa makamo. Like 26 au 28 yaani yuko hoi nizaidi ya usingizi tumeamsha abiria wote yaani nikaput hatari yaani hajiwezi yuko usingizini. Chakusikitisha yule dada amemuibia kila kitu na alikuwa na simu kubwa yule kijana kwakweli sijui walimpeleka wapi maana watu walishuka wote kila anavyo amshwa hawez kunyanyua kope yuko hoi.
Zingatio:
Unapo safiri ukikaa siti na dada au kaka hata awe mzuri kama nani zaidi ya salamu usijenge mazoea yatawakuta mabaya kwa Tanga nasikia haya ni matukio yakawaida sasa ila mjifunze kujikaza mtaibiwa mpaka soksi.