Maulaga59
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 2,989
- 2,954
Umenena vyema na siwezi kuongeza chochote. Nami pia walinisumbua wakati narudi Singapore nikitokea Malaysia pale Johor Baru lakini yule mzee wa immigration alikuwa fare sana.
Alikuwa ‘ fare’ sana, maana yake alikuwa ‘nauli’ sana. Haa! Ndiyo maana huwa mnabanwa mbavu sana aisee! Kwa kiingereza hicho!!!