Hizi stress zinatokana na ugumu wa maisha au nini ?Nashauri kundi la Diamond Platnumz-Wasafi wamuondolee nyazfa zote ndugu Paul Makonda. Hana msaada wowote na anaweza kuanza kuomba posho maana sasa ni jobless anakaa vijiweni tu
Nashauri nafasi za Makonda apewe Mkuu wa Mkoa wa sasa bwana Kunenge,wasipofanya hivyo, itaonekana wanmpinga ndugu Kunenge.
Sasa hivi Makonda hawezi kumuagiza Mambosasa au taasisi yoyote, mtu wa hivi ni mzigo kwa Wasafi
Ebu jaribu kuwa na heshima na watu mlezi wangu Ni baba na mama yangu tu sio tofauti na hapoNdiyo mtulie na mlezi wenu kama ilivyokua awali.
Unanijua me ni nani?me ninaweza nikawa waziri wakoKwa JF muhusika ni wewe
Wa Tanzania baadhi wana roho mbaya sana akiwemo mleta uzi
Sasa makonda akikosa kazi.. wewe unapata kiasi gani
Hili kombora nomaNashauri kundi la Diamond Platnumz-Wasafi wamuondolee nyazfa zote ndugu Paul Makonda. Hana msaada wowote na anaweza kuanza kuomba posho maana sasa ni jobless anakaa vijiweni tu
Nashauri nafasi za Makonda apewe Mkuu wa Mkoa wa sasa bwana Kunenge,wasipofanya hivyo, itaonekana wanmpinga ndugu Kunenge.
Sasa hivi Makonda hawezi kumuagiza Mambosasa au taasisi yoyote, mtu wa hivi ni mzigo kwa Wasafi
Uwezo gani?Nadhani alipewa nafasi hiyo kwa merit ya uwezo wake binafsi na mapenzi yake kwa WASAFI na hakupewa kwa sababu ni mkuu wa mkoa. Hivyo hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya mkuu wa mkoa nakuilea na kuishauri WCB Wasafi
Nashauri kundi la Diamond Platnumz-Wasafi wamuondolee nyazfa zote ndugu Paul Makonda. Hana msaada wowote na anaweza kuanza kuomba posho maana sasa ni jobless anakaa vijiweni tu
Nashauri nafasi za Makonda apewe Mkuu wa Mkoa wa sasa bwana Kunenge,wasipofanya hivyo, itaonekana wanmpinga ndugu Kunenge.
Sasa hivi Makonda hawezi kumuagiza Mambosasa au taasisi yoyote, mtu wa hivi ni mzigo kwa Wasafi