Wasafi ya Diamond imfukuze Makonda katika nafasi yake ya "Mlezi wa Kundi" hana manufaa tena, ni raia tu kama mimi na yule

Kwani huu ulezi alipewa au alijipachika mwenyewe...kwanza tuache mpa promo sana maana magufuri hachelewi badili maamuzi na kumpa shavu tena
 
Nashauri kundi la Diamond Platnumz-Wasafi wamuondolee nyazfa zote ndugu Paul Makonda. Hana msaada wowote na anaweza kuanza kuomba posho maana sasa ni jobless anakaa vijiweni tu

Nashauri nafasi za Makonda apewe Mkuu wa Mkoa wa sasa bwana Kunenge,wasipofanya hivyo, itaonekana wanmpinga ndugu Kunenge.

Sasa hivi Makonda hawezi kumuagiza Mambosasa au taasisi yoyote, mtu wa hivi ni mzigo kwa Wasafi
Hizi stress zinatokana na ugumu wa maisha au nini ?
 
Nashauri kundi la Diamond Platnumz-Wasafi wamuondolee nyazfa zote ndugu Paul Makonda. Hana msaada wowote na anaweza kuanza kuomba posho maana sasa ni jobless anakaa vijiweni tu

Nashauri nafasi za Makonda apewe Mkuu wa Mkoa wa sasa bwana Kunenge,wasipofanya hivyo, itaonekana wanmpinga ndugu Kunenge.

Sasa hivi Makonda hawezi kumuagiza Mambosasa au taasisi yoyote, mtu wa hivi ni mzigo kwa Wasafi
Hili kombora noma
 
Nashauri kundi la Diamond Platnumz-Wasafi wamuondolee nyazfa zote ndugu Paul Makonda. Hana msaada wowote na anaweza kuanza kuomba posho maana sasa ni jobless anakaa vijiweni tu

Nashauri nafasi za Makonda apewe Mkuu wa Mkoa wa sasa bwana Kunenge,wasipofanya hivyo, itaonekana wanmpinga ndugu Kunenge.

Sasa hivi Makonda hawezi kumuagiza Mambosasa au taasisi yoyote, mtu wa hivi ni mzigo kwa Wasafi

Muweke na akiba ya maneno.mchakato bado huu.halafu pia ya Mungu mengi .mkuu ana nafasi zake 10 za kuteua wabunge.pia ana mamlaka ya kuteua wakuu wa mikoa pia.Magufuli atapita urais atateua wabunge kumi na atapanga upya baraza la mawaziri.
 
Back
Top Bottom