Ma genious hawanaga mambo mengi mkuu.#I haven't money#
Nakumbuka ile "tafiti" ya dawa ya corona yaani ilikuwa covered kwenye nusu ukurasa tu wa daftari ya simba halafu ikagawanywa kwenye vipicha vitatu kwisha utafiti!
humjui don wewwMkuu Unataka usaidiwe bure ndy umeshindwa hata kumlipa graphic designer akutengenezee posters za kueleweka? Hata elfu 5 mkuu
*Bad arrangements
* The fonts u chose is not gud for this kind of graphics
*Picture selection was not gud
*poor Colour grading
Mkuu nikushauri kitu; hata km Una kipaji vipi,km hauko siriazi na kipaji chako watu wanakubullshit Tu.. umeamua kuomba msaada unatakiwa uwe siriaz,maana km umeandika Uzi huku unaamini wahusika uliowaomba wakusaidie watapita na wataona
Kila la heri mkuu,I hope watakusaidia
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Humjui Don wewe ha ha haMkuu Unataka usaidiwe bure ndy umeshindwa hata kumlipa graphic designer akutengenezee posters za kueleweka? Hata elfu 5 mkuu
*Bad arrangements
* The fonts u chose is not gud for this kind of graphics
*Picture selection was not gud
*poor Colour grading
Mkuu nikushauri kitu; hata km Una kipaji vipi,km hauko siriazi na kipaji chako watu wanakubullshit Tu.. umeamua kuomba msaada unatakiwa uwe siriaz,maana km umeandika Uzi huku unaamini wahusika uliowaomba wakusaidie watapita na wataona
Kila la heri mkuu,I hope watakusaidia
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kaa kimya wewe, huna sifa ya kukosoa poster za Don Nalimison.Mkuu Unataka usaidiwe bure ndy umeshindwa hata kumlipa graphic designer akutengenezee posters za kueleweka? Hata elfu 5 mkuu
*Bad arrangements
* The fonts u chose is not gud for this kind of graphics
*Picture selection was not gud
*poor Colour grading
Mkuu nikushauri kitu; hata km Una kipaji vipi,km hauko siriazi na kipaji chako watu wanakubullshit Tu.. umeamua kuomba msaada unatakiwa uwe siriaz,maana km umeandika Uzi huku unaamini wahusika uliowaomba wakusaidie watapita na wataona
Kila la heri mkuu,I hope watakusaidia
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Sisi Aljazeera tutamsadia bila kujali hizo graphics.Mkuu Unataka usaidiwe bure ndy umeshindwa hata kumlipa graphic designer akutengenezee posters za kueleweka? Hata elfu 5 mkuu
*Bad arrangements
* The fonts u chose is not gud for this kind of graphics
*Picture selection was not gud
*poor Colour grading
Mkuu nikushauri kitu; hata km Una kipaji vipi,km hauko siriazi na kipaji chako watu wanakubullshit Tu.. umeamua kuomba msaada unatakiwa uwe siriaz,maana km umeandika Uzi huku unaamini wahusika uliowaomba wakusaidie watapita na wataona
Kila la heri mkuu,I hope watakusaidia
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Sisi Aljazeera tutamsadia bila kujali hizo graphics.
Kaa kimya wewe, huna sifa ya kukosoa poster za Don Nalimison.
Humjui Don wewe ha ha ha
Don kumbe ana ushawish sn humuhumjui don weww
Kwa taarifa yako Don tuko nae humu miaka nenda rudi ni mtu muhimu sana. Tunakushangaa wewe unavyomshangaa mtu mzito kama Don. Tumetoka nae mbali sana na mpk alipofikia tumempa sapoti kubwa ya kazi zake za sanaa. Nyie mnaojua graphics mudslide na sio kumbezaDon kumbe ana ushawish sn humu
Nimetoka povu Hadi masikioni Kwa kudhani namnyoosha badala yake me ndy nanyooshwa
Kweli ukifika mahali waulize wenyejj..wa kuja tuna matatizo sana humu..nimekoma
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ahahahah nimekoma mkuu funzadume..Kwa taarifa yako Don tuko nae humu miaka nenda rudi ni mtu muhimu sana. Tunakushangaa wewe unavyomshangaa mtu mzito kama Don. Tumetoka nae mbali sana na mpk alipofikia tumempa sapoti kubwa ya kazi zake za sanaa. Nyie mnaojua graphics mudslide na sio kumbeza
Kwa taarifa yako Don alishawahi kumtokea binti wa Obama mpk serikali ikaingilia kati
Huyu jamaa kuna kitu hakiko sawa..
Mkuu kama unamjua Deogratius Kisandu aka Don Nalimison usingepata shaka ya afya yake ya akili.
Mshikaji ana shida kichwani anahitaji msaada ,sijajua kwanini ndugu zake wasimpeleke mirembe akapate matibabu ,kuendelea kumuachia simu ataanza tena kuandika mambo ya ajabu kwenye facebook yasiyo na maadili ya Mtz.
Kwa taarifa zaidi alishawahi kuandika issues Facebook akaitibua serikali wakampiga mvua kadhaa jela na alipotoka wakampoka na kazi yake ndio akaingia kwenye sanaa. Anajitahidi sana so far. Mlioko kwenye vitengo mumpe support hata kumfanyia graphics za maanaAhahahah nimekoma mkuu funzadume..
Nimekula sn za uso kutoka Kwa wapambe Kwa kumdislike jamaa,alafu mwenyewe Hana habari kachill kimya baada ya kunijibu Kwa ufupi sn kwamba Nina jellousy
Jamaa ana nguvu sn humu
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ahahahah nimekoma mkuu funzadume..
Nimekula sn za uso kutoka Kwa wapambe Kwa kumdislike jamaa,alafu mwenyewe Hana habari kachill kimya baada ya kunijibu Kwa ufupi sn kwamba Nina jellousy
Jamaa ana nguvu sn humu
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Anataka kumvuruga Don wakati Serikali inamtambuaSisi tunaojua umuhimu wa Don Nalimison hatupendi kuona mtu mzito kama yeye kukosolewa hadharani bila staha. Kama una jambo lolote la kumshauri tushirikishe kwanza sisi ili tuone namna ya kuliwasikisha kwake.