Wasafi TV imezipiga bao TV zote nchini, Tumewasha Tigo Tour na anguko la Tigo Fiesta

'THE RISE OF WASAFITV and THE FALL OF CLOUDSTV.'

Sasa Clouds itaangushwaje na Wasafi wkt mmiliki wake ni mmoja mzee Baba?

Kusaga ni kichwa sana arifu.
Tatizo anajua wasafi mmiliki wake ni Diamond peke yake, kumbe sio mkuu.
 
Vijana wa kileo tunapenda sanaa ushabiki bila facts.

Ila hili la nani ana miliki WASAFI TV TCRA walishalitolea ufafanuzi zamaniii (tokea 2018)

Ukifupi mmiliki wa WASAFI TV ni Kusaga..!!

Kwanini nasema hivyo?

Hebu tuingie darasani...

Ukisoma Corporate Governance vizuri inakufundisha kwamba "The majority shareholder is the owner of the company"
Hili ndilo lililoifanya Simba SC. Kumnyima 50% of the shares MO na kumpa 49.
Kwasababu siku zotee anaemiliki 50% na zaidi ndio mmiliki mkubwa na mwenye sauti (high voting power).

WASAFI TV share holders...
Who is majority shareholder?
1. Zaghalulu Ajmy (Mke wa Kusaga) = 53%
2. Nasibu Abdul Juma (Diamond) = 45%
3. Ali Khatib Dai = 2%

Then the majority share holder is 1 = mke wa kusaga = Kusaga.
Na wasafi fm mmiliki ni nani
 
Je ukisema Wasafi unamaanisha na Label ya Wasafi ni mali ya madam Kusaga?, wabongo punguzeni wivu , kijana amepambana sana from zero to hero , naomba tumuheshimu his future is brighter mwaka jana katoka hapa Kigali kununuwa Nyumba za biashara, jama anaakili kubwa

Nauliza je jina la Wasafi nani kalianzisha

Diamond kwa level ambazo anafikia kwa sasa anaweza kuanzisha media kama kumi ao zaidi mfano wa Wasafi Media
 
Je ukisema Wasafi unamaanisha na Label ya Wasafi ni mali ya madam Kusaga?, wabongo punguzeni wivu , kijana amepambana sana from zero to hero , naomba tumuheshimu his future is brighter mwaka jana katoka hapa Kigali kununuwa Nyumba za biashara, jama anaakili kubwa

Nauliza je jina la Wasafi nani kalianzisha

Diamond kwa level ambazo anafikia kwa sasa anaweza kuanzisha media kama kumi ao zaidi mfano wa Wasafi Media
Unazijua media kumi wewe, hiyo moja tu watu wengine mishahara ni mbinde ndio iwe media 10.
 
Iko hivi Clouds media ni family business ambayo ipo chini ya Kussaga Family yaaani iliazishwa kupitia Fedha za Marehemu Mzee Kussaga alafu mtoto wake huyu Kussaga Jr ndio akawa mkurungezi kutokana na yeye kuwa na experience kuwa na mshiko wa kutosha akaazisha Clouds media dubai, Rwanda na kampuni zingine lakini baadae akaona kama apati pesa za kutosha kutoka Clouds media bcz ya family ownership ndio akaazisha Wasafi Media from copy and paste ya Clouds media lakini akaingia makubaliano ya mkataba na Diamond ili watumie Wasafi brand kwa minajili ya kuipa Airtime kubwa huku Diamond akipata sehemu ya kuongelea mziki wake na matamasha yake ndio maana unaona Wasafi Media wanapita mule mule kwenye njia za Clouds media mfano Kuja kwa Koffi; Koffi anamawasiliano ya Karibu sana na Joseph Kussaga pia Tigo Wanaelewana sana na Kussaga ndio maana wameweza kukaa na Clouds media for more than 4 yrs to support Fiesta. Ukiangalia hata Vifaa wanavyotumia kwenye matamasha yao ni kutoka Prime time promotion iliyo chini ya clouds. Clouds Media ilikuwa Ruge na Joseph. Ruge ni mtendaji lakini nyuma ya picha alikuwa chini ya Kussaga ndivyo ilivyo kwa Wasafi Media Diamond anaonekana ndio mmiliki lakini nyuma ya picha yupo chini ya Joseph Kussaga kupitia Mke wake.... Vijana tutafute pesa na tuwe na focus na vision.....
 
Iko hivi Clouds media ni family business ambayo ipo chini ya Kussaga Family yaaani iliazishwa kupitia Fedha za Marehemu Mzee Kussaga alafu mtoto wake huyu Kussaga Jr ndio akawa mkurungezi kutokana na yeye kuwa na experience kuwa na mshiko wa kutosha akaazisha Clouds media dubai, Rwanda na kampuni zingine lakini baadae akaona kama apati pesa za kutosha kutoka Clouds media bcz ya family ownership ndio akaazisha Wasafi Media from copy and paste ya Clouds media lakini akaingia makubaliano ya mkataba na Diamond ili watumie Wasafi brand kwa minajili ya kuipa Airtime kubwa huku Diamond akipata sehemu ya kuongelea mziki wake na matamasha yake ndio maana unaona Wasafi Media wanapita mule mule kwenye njia za Clouds media mfano Kuja kwa Koffi; Koffi anamawasiliano ya Karibu sana na Joseph Kussaga pia Tigo Wanaelewana sana na Kussaga ndio maana wameweza kukaa na Clouds media for more than 4 yrs to support Fiesta. Ukiangalia hata Vifaa wanavyotumia kwenye matamasha yao ni kutoka Prime time promotion iliyo chini ya clouds. Clouds Media ilikuwa Ruge na Joseph. Ruge ni mtendaji lakini nyuma ya picha alikuwa chini ya Kussaga ndivyo ilivyo kwa Wasafi Media Diamond anaonekana ndio mmiliki lakini nyuma ya picha yupo chini ya Joseph Kussaga kupitia Mke wake.... Vijana tutafute pesa na tuwe na focus na vision.....
'Iko hivi Clouds media ni family business ambayo ipo chini ya Kussaga Family yaaani iliazishwa kupitia Fedha za Marehemu Mzee Kussaga'.

Kuna jinga 1 kule juu linasema Clouds Media mtaji wake ulitoka kwa mke wa kusaga,kuna wadwanzi wengi sana humu hawajui na hawajui kama hawajui.
 
Unazijua media kumi wewe, hiyo moja tu watu wengine mishahara ni mbinde ndio iwe media 10.
Hapa Rwanda kuanzisha Tv kwa njia ya Digital nikitu rahisi sana, namaanisha tv nyingi zinaweza kutumia digital frequency moja na zina fika masafa marefu duniani kote lakina analog system itaomba antenna (minara) ndefu kila mahala tena haitafika sehemu zote , zamani hio analog ilikuwa big deal kuanzisha kituwi cha tv lakini dunia ya sasa ya digital technologies, within 100K USD unaanzisha Tv station ya HD broadcast
 
Yes kote ni majority S/holder .. kama Clouds ana 93% na Wasafi ana 53% na Tigo wameamua kwenda Wasafi means hapa kipato kwake kimepungua
Clouds hana 93% yuko hapo kati 51%-59% maana hapo kuna wakina Sheba na wana familia kibao.

Mfano tu Clouds Tv owners ni Alex Mkama 25%,Kusaga 25%,Clouds Entern. Ltd 50%.

It's complicated.
 
Hapa Rwanda kuanzisha Tv kwa njia ya Digital nikitu rahisi sana, namaanisha tv nyingi zinaweza kutumia digital frequency moja na zina fika masafa marefu duniani kote lakina analog system itaomba antenna (minara) ndefu kila mahala tena haitafika sehemu zote , zamani hio analog ilikuwa big deal kuanzisha kituwi cha tv lakini dunia ya sasa ya digital technologies, within 100K USD unaanzisha Tv station ya HD broadcast
Hao WCB ninawajua nje ndani, ninaishi nao mtaa mmoja.

Mboso anaishi Mbweni na hiyo Nyumba alitafutiwa na ndugu yangu. Rayvanvy anaishi Tabata. Queen darlin anaishi Sinza. Wote hao nawajua.

Msitake tuanze kuandika Mambo ya ndani humu maana sitaki kumkosea Diamond heshima.


Ngoja niishie hapa. Ila nasema sio kila kitu unachosoma kwenye mtandao ni kweli.

Asante.
 
'Iko hivi Clouds media ni family business ambayo ipo chini ya Kussaga Family yaaani iliazishwa kupitia Fedha za Marehemu Mzee Kussaga'.

Kuna jinga 1 kule juu linasema Clouds Media mtaji wake ulitoka kwa mke wa kusaga,kuna wadwanzi wengi sana humu hawajui na hawajui kama hawajui.
Kuna mapumbavu mengi sana yanakaa kujazana ujinga tu halafu hayajui chochote
 
Back
Top Bottom