mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Uongo.Si kweli
he owns 45%
Uongo.Si kweli
he owns 45%
Hahah aiseee.Hamilik hisa za Wasafi, anamilik hisa za Wasafi TV.. key point, "TV"
Hahah cheki ulivyo boya sasa,hujui hata huyo mama alikua anaishi kota pale Maghorofani hahah.Unataka kutudanganya kwamba utajiri wa huyo mama ni wa KUSAGA au?KUSAGA kamkuta huyo mama akiwa na utajiri.
Ntaelewekaje kwa watu wenye elimu za hapa na pale.Heleweki kabisa.Anyway Clouds ndo hiyo,imeshamshinda kusaga.
'Nimekupuuza rasimi Kwakua,huna lolote unalolijua kuhusu biashara, na elimu yako ni ya kwenye makaratasi na haijakusaidia chochote.'Nimekupuuza rasimi Kwakua,huna lolote unalolijua kuhusu biashara, na elimu yako ni ya kwenye makaratasi na haijakusaidia chochote.
Ninachokiona kwako ni maumivu ya roho baada ya Togo fiesta kufail, na Sasa inatafuta sababu za kuishabikia WASAFI MEDIA, kwa kujifariji kwamba mmiliki wa Clouds ndo yuleyule wa WASAFI MEDIA.
DIAMOND ATAWAPASUA VIFUA
😂😂😂😂 Kidoooogo wadanganye, nyumbu wenzako wasiojua chimbuko la huyo dada, sio mimi. Boya ni wewe unayatafuta sababu za kuishabikia WASAFI MEDIA kwa kujifariji kuwa mmiliki wa Clouds na WASAFI ni yuleyule.Hahah cheki ulivyo boya sasa,hujui hata huyo mama alikua anaishi kota pale Maghorofani hahah.
Sijui huo utajiri alitoka nao wapi,labda pale maghorofani walikokua wamejazana ndg kama wote.,hahah.
Tufanye basi WASAFI ni Clouds B😂'Nimekupuuza rasimi Kwakua,huna lolote unalolijua kuhusu biashara, na elimu yako ni ya kwenye makaratasi na haijakusaidia chochote.'
Hahah umeulizwa value ya Brand kwny B/Sheet ya wasafi unaanza kuruka ruka.
Sikukutuma ukimbie shule arifu,hahah.
'Boya ni wewe jobless, ulieshinda humu jF kuanzia uzi uanzishwe hadi usiku huu Ili ubishane na ukweli unaoelezwa na watu'.Kidoooogo wadanganye, nyumbu wenzako wasiojua chimbuko la huyo dada, sio mimi. Boya ni wewe unayatafuta sababu za kuishabikia WASAFI MEDIA kwa kujifariji kuwa mmiliki wa Clouds na WASAFI ni yuleyule.
Boya ni wewe jobless, ulieshinda humu jF kuanzia uzi uanzishwe hadi usiku huu Ili ubishane na ukweli unaoelezwa na watu.
Hapana nadhani tufanye ni ya Hamisa Mobeto.Tufanye basi WASAFI ni Clouds B
Kwani Tigo haiwezi kuzamani matamasha yote mawili?acha kukaza fuvu bhana maana nimeshasema kuwa , WASAFIMEDIA iko top kwa kila kitu , Sasa Kama cloudstv ni kubwa kwa wasafi why tigo wamewakimbia..?
facthuyo mke wakusaga anahisa wasafi tv tuu lakin wasafi media (tv na radio) mwenye hisa nying ni diamond
yeah bila kipingamizi DIAMOND PLATINUMZ NDO MUONGOZA NJIA ORIGINALHakika ni yeyeeeeeeeeeeeeeeee.
boya mkubwa weweHuyu ndo wameanza naye maisha au ni juu kwa juu tu?
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
nimesema diamond platinumz anamiliki 57% hao wengine wagawane hizo 43%,all in all nimeua wewe ndo TAKATAKA SQUAREWewe kweli takataka 57+53 unapata ngap apo? Acha kukaza fuvu
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Na vivyo hivyo, hiyo 10% NI ndogo sana kwenye branding interest Kama umesoma so kasome kwanza ndo uje hapa, maana Mimi ni B. D wa BRELA sawa kidogo mtu'Hizo hisa 10% anazozidiwa diamond haziwezi lingana na brand ya WASAFI'.
Kwa hio kwny Balance Sheet ya Wasafi, brand(Asset) imekua valued ni Sh. Ngapi?hahah kukimbia shule shida zake ndio kama hivi sasa.
sasa ITV redio local ndo ulinganishe na WASAFI brand kubwa chini ya genius DIAMOND PLATINUMZ serious...!!!???Hakika wala hujakosea,hata ITV kufika pale ni akili za Joyce Mhaville.,hahah.
Soon itabidi aanzishe Mhaville Media,hahah.
hapana zinamilikiwa na D. C mwijaku mbea wa InstagramNakubali zinamilikiwa na Mchungaji Gwajima na ufufuo na uzima.
Ushafelisawa na wewe endelea ku butt lick kibamia na kundu boy
angalia ulivyo boya, mbumbu na MBUGIRA yaani haujui Kama huyo mama kwao wana hela Kama zote na yeye huyo mama anahela Hadi alimuongezeaga mtaji kusaga wa kuanzisha cloudsmedia...!!!??Hahah cheki ulivyo boya sasa,hujui hata huyo mama alikua anaishi kota pale Maghorofani hahah.
Sijui huo utajiri alitoka nao wapi,labda pale maghorofani walikokua wamejazana ndg kama wote.,hahah.
sasa kwani walikwambia uishie la Saba Z , nenda hata memkwa ukasome biashara ukafungue genge, WASAFI CHAMA LAONtaelewekaje kwa watu wenye elimu za hapa na pale.