Wasafi TV imezipiga bao TV zote nchini, Tumewasha Tigo Tour na anguko la Tigo Fiesta

Mnaonesha wazi kabisa mnayebishana humu ndani mnamiliki MATAKO TU pumbavu
 
tatizo mnafuata sana (udaku),yaani mkisikia mange kimambi amesema na nyie mnatega masikiao,WASAFITV ni ya DIAMOND PLATINUMZ THE KING OF TANZANIA MUSIC, nimeandika kwa herufi kubwa ili USIRUDIE pumba zako.
Vijana wa kileo tunapenda sanaa ushabiki bila facts.

Ila hili la nani ana miliki WASAFI TV TCRA walishalitolea ufafanuzi zamaniii (tokea 2018)

Ukifupi mmiliki wa WASAFI TV ni Kusaga..!!

Kwanini nasema hivyo?

Hebu tuingie darasani...

Ukisoma Corporate Governance vizuri inakufundisha kwamba "The majority shareholder is the owner of the company"
Hili ndilo lililoifanya Simba SC. Kumnyima 50% of the shares MO na kumpa 49.
Kwasababu siku zotee anaemiliki 50% na zaidi ndio mmiliki mkubwa na mwenye sauti (high voting power).

WASAFI TV share holders...
Who is majority shareholder?
1. Zaghalulu Ajmy (Mke wa Kusaga) = 53%
2. Nasibu Abdul Juma (Diamond) = 45%
3. Ali Khatib Dai = 2%

Then the majority share holder is 1 = mke wa kusaga = Kusaga.
 
sasa ITV redio local ndo ulinganishe na WASAFI brand kubwa chini ya genius DIAMOND PLATINUMZ serious...!!!???
Ipe heshima yake ITV ni chombo chenye uweledi mkubwa sana kuliko chombo chochote nchi,ktk kuwasilisha habari na hiyo haitoshi hizo radio zote za FM wamekopi vitu vingi kutoka Radio One na kuvifanyia modification.
 
Niseme uongo hapa.. katika swala la ubunifu clouds wako mbali Sana... Wasafi wanajua na ndo maana Mambo yao yote wanataka kuwa sawa na clouds medias
Hata wasafi nao wanazidi kuwa wabunifu pia
Mfano walikuja na vipindi vyao kuonekana live kupitia youtube
kitu ambacho clouds hawakuwa Nacho labda liwe tukio muhimu
Kubali kataa clouds haina ubunifu tena
 
Hata wasafi nao wanazidi kuwa wabunifu pia
Mfano walikuja na vipindi vyao kuonekana live kupitia youtube
kitu ambacho clouds hawakuwa Nacho labda liwe tukio muhimu
Kubali kataa clouds haina ubunifu tena
Tokea ruge aondoke duniani wamekuwa utopolo
 
Mnachotakiwa kujua ni kwamba,bila brand ya WASAFI ambayo kimsingi ni ya diamond platinumz hakuna WASAFI TV wala WASAFI FM, kufanikiwa kwa hiyo media wala si swala la pesa. Leo hii Diamond akisema atoe hizo hisa zake ambazo nyinyi mnaziona ni ndogo pamoja na brand yake alafu akae kando, WASAFI MEDIA inaanguka ndani ya muda mchache tu (Mnafikiri kuanzisha redio ni pesa tu)

Hata hivyo asilimia za hisa anazozidiwa diamond na huyo mke wa kusaga hazizidi hata 10%.Kwahiyo chukua Hisa anazo miliki Mond pale Wasafi media + Brand yake= MOND NDIO MKUBWA PALE WASFI MEDIA.Kama kweli ni swala la pesa na akili za Kusaga,mbona clouds inamfia mkononi mwake?


NB:Ukuaji wa kasi wa WASAFI media kwa asilimia 50%unategemea brand na mashabiki aliyojitengenezea Mond. Ndiomaana hata nyinyi mnaoiponda WASAIFI hamuwezi kuwa mashabiki wa Mond.
Hii nondo nzito haswa.
 
Mnachotakiwa kujua ni kwamba,bila brand ya WASAFI ambayo kimsingi ni ya diamond platinumz hakuna WASAFI TV wala WASAFI FM, kufanikiwa kwa hiyo media wala si swala la pesa. Leo hii Diamond akisema atoe hizo hisa zake ambazo nyinyi mnaziona ni ndogo pamoja na brand yake alafu akae kando, WASAFI MEDIA inaanguka ndani ya muda mchache tu 😂(Mnafikiri kuanzisha redio ni pesa tu🤔)

Hata hivyo asilimia za hisa anazozidiwa diamond na huyo mke wa kusaga hazizidi hata 10%.Kwahiyo chukua Hisa anazo miliki Mond pale Wasafi media + Brand yake= MOND NDIO MKUBWA PALE WASFI MEDIA.Kama kweli ni swala la pesa na akili za Kusaga,mbona clouds inamfia mkononi mwake?😂


NB:Ukuaji wa kasi wa WASAFI media kwa asilimia 50%unategemea brand na mashabiki aliyojitengenezea Mond. Ndiomaana hata nyinyi mnaoiponda WASAIFI hamuwezi kuwa mashabiki wa Mond.
me naona mjadala wa umiliki ungeishia kwenye hii koment. Tuendelee na tigo kuwakimbia clouds na kwenda wasafi
 
Biashara huui mwenyewe bro! Au huui kwa kupenda!!
Upepo unaelekea Wasafi media kwa sasa na hii sio kwa amri yake ni Mungu tu!

So endapo Wasafi inafanikiwa na Clouds inafifia hatusemi kuwa Joe ndie anaua moja na kukuza nyingine!
Kubali kuwa Mondi ni nyota ing'aayo mno wakati huu hivyo kama Jose katia hela Wasafi "kama unavyofosi" hiyo haibadilishi kuwa Mondi ni nouma!! Mondi ni amefanikiwa sana kama kijana mdogo kabisa!!
NO WASAFI WITHOUT DIAMOND PLATINUMZ
Umeyamaliza No Diamond No Wasafi full stop labda waanzishe Wachafu ao Kiba Media
 
Vijana wa kileo tunapenda sanaa ushabiki bila facts.

Ila hili la nani ana miliki WASAFI TV TCRA walishalitolea ufafanuzi zamaniii (tokea 2018)

Ukifupi mmiliki wa WASAFI TV ni Kusaga..!!

Kwanini nasema hivyo?

Hebu tuingie darasani...

Ukisoma Corporate Governance vizuri inakufundisha kwamba "The majority shareholder is the owner of the company"
Hili ndilo lililoifanya Simba SC. Kumnyima 50% of the shares MO na kumpa 49.
Kwasababu siku zotee anaemiliki 50% na zaidi ndio mmiliki mkubwa na mwenye sauti (high voting power).

WASAFI TV share holders...
Who is majority shareholder?
1. Zaghalulu Ajmy (Mke wa Kusaga) = 53%
2. Nasibu Abdul Juma (Diamond) = 45%
3. Ali Khatib Dai = 2%

Then the majority share holder is 1 = mke wa kusaga = Kusaga.
Umeeleza vizur ila umemalizia utopolo , sasa mke wa kusaga ndo kusaga , ?? Umeelezea Sheria ya shareholders vzuri, haya twambie Sheria inasemaje Mali ya mke ndo ya Mme pia? Kusaga mwenyewe si Alisha lisemea hili....
 
Ipe heshima yake ITV ni chombo chenye uweledi mkubwa sana kuliko chombo chochote nchi,ktk kuwasilisha habari na hiyo haitoshi hizo radio zote za FM wamekopi vitu vingi kutoka Radio One na kuvifanyia modification.
Sijawah ona utofauti kati ya ITV, redio one na vituo vingine vya habari , huwa naona ni promo Tu wanajipa ITV , huenda Kwa sababu ya ukongwe na influence ya Mengi kama mchaga na wafanya biashara wengi wachaga kupeleka matangazo pale, but nothing new....Sana Sana ITV ndo kituo chenye camera mbovu kuliko vyote
 
Habari Wana jamvi;

Kwa mwendo huu wa WASAFITV kuruhusiwa kuonyeshwa bure kwenye kisembuzi Cha AZAMTV ni ukomavu na ukuaji mkubwa wa tasinia ya taarifa ya habari nchini.

Pia imedhihirisha ni kwa namna gani DIAMOND pamoja na WASAFI ni mahodari na wabobezi kwenye nyanja ya habari sana.

TIGO wameisaliti CLOUDSTV na kukimbilia WASAFITV,hii inamaanisha kuwa WASAFITV ndo inakuja kuleta mapinduzi mapya,yenye misingi ,tija na manufaa kwa wanamziki/wasanii kwa ujumla nchini Tanzania.

Hiki kitendo Cha TIGO kinaonyesha kuwa CLOUDSTV imeisha kufa na imebakiwa kuzikwa,na kwa Sasa habari ya mjini ni WASAFITV.

S/O kwa Diamond platinumz the G.O.A.T pamoja na chuma Cha WCB na WASAFITV kwa ujumla.

THE RISE OF WASAFITV and THE FALL OF CLOUDSTV.
View attachment 1633721
😂😂😂😂😂😂
 
Sijawah ona utofauti kati ya ITV, redio one na vituo vingine vya habari , huwa naona ni promo Tu wanajipa ITV , huenda Kwa sababu ya ukongwe na influence ya Mengi kama mchaga na wafanya biashara wengi wachaga kupeleka matangazo pale, but nothing new....Sana Sana ITV ndo kituo chenye camera mbovu kuliko vyote
Ktk maisha yangu haya tokea najitambua najua nini umuhimu wa taarifa ya habari,kwa Tanzania hii hamna kituo kinacho ifikia ITV ktk uwasilishaji wa habari,alafu ina coverage kubwa.

ITV wapo vizuri sana,radio ndio kituo kilicho zi shape hizi radio za FM unazoziona sasa ila kosa lao kubwa hawa kuaenda sambamba na wakati na walijiona bora.
 
Back
Top Bottom