Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,497
- 26,986
Mzee kasema tujiandae kupiga shangwe, basi tujiweke sawa.
Leo nipo na Wasafi Media, kuna machache kati ya mengi siyaelewi tusaidiane kuwaweka sawa.
Kuna mifano michache ya ‘Vipindi’ ama ‘shows’ ambazo zimekuwa hazichukui round hewani, ghafla zinapotea na kupisha wengine, hapa tatizo ni maslahi au mikataba magumashi au namna gani?
Kwa mfano Show ya ‘Bongo Dar es Salaam’ ya Dude, ilianza kwa mbwembwe nyingi ghafla ikapotelea kusikojulikana.
Kulikuwa na Show ya vichekesho iliitwa ‘Cheka Point’ ya kina Carpoza (Wanyabe), ishapigwa chini kuna Jambo na Vijambo.
Mifano ipo mingi, unaweza kuongezea, mi naishia hapo.
Hebu wajuzi mtupe mwanga, kuna harufu gani hapa kwenye hii so called mega media baba lao?
Ni kwamba wenye shows wanashindwa kuprove uwezo au magumashi kwenye maslahi?
Leo nipo na Wasafi Media, kuna machache kati ya mengi siyaelewi tusaidiane kuwaweka sawa.
Kuna mifano michache ya ‘Vipindi’ ama ‘shows’ ambazo zimekuwa hazichukui round hewani, ghafla zinapotea na kupisha wengine, hapa tatizo ni maslahi au mikataba magumashi au namna gani?
Kwa mfano Show ya ‘Bongo Dar es Salaam’ ya Dude, ilianza kwa mbwembwe nyingi ghafla ikapotelea kusikojulikana.
Kulikuwa na Show ya vichekesho iliitwa ‘Cheka Point’ ya kina Carpoza (Wanyabe), ishapigwa chini kuna Jambo na Vijambo.
Mifano ipo mingi, unaweza kuongezea, mi naishia hapo.
Hebu wajuzi mtupe mwanga, kuna harufu gani hapa kwenye hii so called mega media baba lao?
Ni kwamba wenye shows wanashindwa kuprove uwezo au magumashi kwenye maslahi?