mayowela
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 2,124
- 1,744
Hii wiki imeanza kwa kishindo upande wa Kiwanda cha media baada ya Wasafi Fm kufanya utambulisho wa watangazaji wa kipindi cha michezo cha Sport Arena, utambulisho uliojaa manjonjo na mbwe huku wakiwa wameacha vilio na mapengo kwenye baadhi ya vyombo vya habari,
Biashara ni Ushindani, eeeh ndio ushindani, naona yale yaliyofanyika kwa Clouds kuiba watangazaji wa EA Radio, na EFM kuiba kwa sasa naona yakitokea tena, issue kubwa ni dau, sehemu yoyote ukitangaza Dau mtu hufanya kwa kiwango cha juu sana plus taaluma na uzoefu,
Biashara ya media inabebwa na matangazo, matangazo nayo yanaangalia vipindi gani hupendwa na wasikilizaji, wasikilizaji nao huangalia kipindi kinaendeshwa na nani, ndiomaana tunaona wenye majina makubwa ndio wanufaika,
kuna watangazaji wadogo lakini wanauwezo mkubwa sana na wako mikoani au media kubwa Dar ila nafasi hawapewi, na kuna watangazaji wakubwa wanamajina ila maslah madogo sasa hapa ndio tunaona wenye upeo na biashara hucheza karata vizuri,
EA Radio kwenye usajili au nyakua nyakua, waliwapoteza Mammy Babby, Bantu, Kennedy, Sinyorita, na Ommy Crazy
hapo nyuma walishawapoteza Seba the warrior, Marygoreth Richard, nk
Mafuvu pia walikosa kwa sababu zao binafsi
sasa kwenye usajili wa WASAFI fm katika kujitangaza na kujiboresha na kuteka hisia za watu, naona wafuatao wanaondoka,
Jr Junior, King Smash, Sam Misago pia kuna tetesi za watu wa team ya tv production kubebwa,
Hili litaleta anguko la pili baada ya lile la kwanza ambalo walipoteza sana mvuto kwa wasikilizaji na ikabaki ufanyaji wa kazi kwa mazoea bila initiative/strategy, pigo walilopigwa kuondoka Zembwela ni kubwa Supa Mix ndio basi tena, au wataendelea kuwazalishia watangazaji wazuri washindani wao..?
Biashara ni Ushindani, eeeh ndio ushindani, naona yale yaliyofanyika kwa Clouds kuiba watangazaji wa EA Radio, na EFM kuiba kwa sasa naona yakitokea tena, issue kubwa ni dau, sehemu yoyote ukitangaza Dau mtu hufanya kwa kiwango cha juu sana plus taaluma na uzoefu,
Biashara ya media inabebwa na matangazo, matangazo nayo yanaangalia vipindi gani hupendwa na wasikilizaji, wasikilizaji nao huangalia kipindi kinaendeshwa na nani, ndiomaana tunaona wenye majina makubwa ndio wanufaika,
kuna watangazaji wadogo lakini wanauwezo mkubwa sana na wako mikoani au media kubwa Dar ila nafasi hawapewi, na kuna watangazaji wakubwa wanamajina ila maslah madogo sasa hapa ndio tunaona wenye upeo na biashara hucheza karata vizuri,
EA Radio kwenye usajili au nyakua nyakua, waliwapoteza Mammy Babby, Bantu, Kennedy, Sinyorita, na Ommy Crazy
hapo nyuma walishawapoteza Seba the warrior, Marygoreth Richard, nk
Mafuvu pia walikosa kwa sababu zao binafsi
sasa kwenye usajili wa WASAFI fm katika kujitangaza na kujiboresha na kuteka hisia za watu, naona wafuatao wanaondoka,
Jr Junior, King Smash, Sam Misago pia kuna tetesi za watu wa team ya tv production kubebwa,
Hili litaleta anguko la pili baada ya lile la kwanza ambalo walipoteza sana mvuto kwa wasikilizaji na ikabaki ufanyaji wa kazi kwa mazoea bila initiative/strategy, pigo walilopigwa kuondoka Zembwela ni kubwa Supa Mix ndio basi tena, au wataendelea kuwazalishia watangazaji wazuri washindani wao..?