Ruyama
JF-Expert Member
- Sep 6, 2019
- 367
- 561
Leo nimejaribu kuilinganisha joto la asubuhi ya e fm na hicho kipindi cha magazeti, E FM wapo juu kiukweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia Zembwela anapitiliza kuongea, awe anaongea kidogo atoe fursa kwa wenzake bana...mantiki ndogo lakini atazunguka kama anahubiri bana ...
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂Jamaninenda kaombe kazi wewe uwe unachambua magazeti
khaaaaahnenda kaombe kazi wewe uwe unachambua magazeti