SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,714
- 60,721
Sports Arena ya Wasafi ni kusanyiko la wapumbavu tu kiranja wao akiwa Ricardo Momo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda Edo na Ambangile, Kidoti mahaba kwa Yanga yamemuondolea weledi kabisaWenye uelewa ni wachache sana kama kina Edo Kumwembe,Maulid Kitenge na George Ambangile
Huyo ambangile anaharibu kwenye utamkaji wake wa team na majina ya watuLabda Edo na Ambangile, Kidoti mahaba kwa Yanga yamemuondolea weledi kabisa
RKiherehere ili waonekane wao ni wa kwanza kutoa taarifa .
Sijui wanawatoaga wapi hawa watangazaj wasiojua miiko ya utangazaji ,yaan wasaf Naona wamejaa wahuni wahuni tu kuanzia diva ,baba levo ,juma lokole,kitenge na wengine .
Huyo mtangazaj anapaswa kuachishwa kazi ni mpuuz no moja kufurahia mtu kufa haiwezekan utoe taarifa ambayo huna uhakika nayo
Msamehe bure tu alisema chanzo ni youtubeHii imekaaje, mtangazaji kudanganya? Atasema mdomo uliteleza kwanini hakuwa na subira mpaka ripoti ya daktari itoke?
Ni aibu kwa kituo na kwa mtangazaji mwenyewe. Unachukua habari za mitandaoni unazitangaza? Mnaanza kututia wasi wasi kusikiliza vipindi vyenu.
Watangazaji wengi hawajsomea wanachukuliwa kwasababu ni maarufuHii imekaaje, mtangazaji kudanganya? Atasema mdomo uliteleza kwanini hakuwa na subira mpaka ripoti ya daktari itoke?
Ni aibu kwa kituo na kwa mtangazaji mwenyewe. Unachukua habari za mitandaoni unazitangaza? Mnaanza kututia wasi wasi kusikiliza vipindi vyenu.
Uzungu mwingi kwenye utamkaji wa majinaMsamehe ni mnyakyusa