Nimependa tu hili jina.. je wewe waona nitumie lipi?Kwanini Umebadilisha ID kiongozi???
We jamaa ni fala kweli umeshindwa kujua kama ni utani tu nimefanya acha kujitia ujuaji umeambiwa sijajua kama ni editing au?we jamaa boya kweli yani kwa akili yako unashindwa kabisa kujua kama.ni editing hiyo? simple tu angalia hiyo font vizur,then nitakupa fact nyingine
AlmeidaNimependa tu hili jina.. je wewe waona nitumie lipi?
muombee ban si ndo zakoMleta mada muongo muongo sana .
Ni wewe tuNimependa tu hili jina.. je wewe waona nitumie lipi?
Kwanza iyo ilikua Kenya,,jamaa kachukulia serious kinyama.We jamaa ni fala kweli umeshindwa kujua kama ni utani tu nimefanya acha kujitia ujuaji umeambiwa sijajua kama ni editing au?
Hapo wasafi festival itashinda.BASHITE:Nataka mwakani ndani ya mwezi mmoja ifanyike Wasafi festival then Mziki mnene alaf Tunamalizia na Tigo Fiesta,Tuone nani ni Baba lao tumpe tuzo ya kuburudisha.
Ndomaana nikakwambia top 7 yangu nisingeweza kuweka wote.Dudu baya vip mbona simuoni kwenye list
But. likifanyika at the same time waandaaji watapata hasara sana.Ndomaana nikakwambia top 7 yangu nisingeweza kuweka wote.
FeroozMsanii anaperform then anasema siwasikii sasa hapo sielewi nani alipaswa kumsikiliza mwenzake
Nature kupiga show bila hizi ngoma sijapenda kabisa
1. Kigheto ghetto
2. Jinsi kijana
Inspector Harun nae ameacha kutukumbusha hizi ngoma zetu pendwa
1. Mtoto wa geti kali
2. Life ya uswazi
basi utani wako ni wa kifalaWe jamaa ni fala kweli umeshindwa kujua kama ni utani tu nimefanya acha kujitia ujuaji umeambiwa sijajua kama ni editing au?
Yeye vip ilikuwaje maana nasikia Mara alishushwa stejini, ukweli ni upiNdomaana nikakwambia top 7 yangu nisingeweza kuweka wote.