Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,631
Hao waliojaa uwanjani walisombwa na malori kutoka mikoa ya jirani.
Hao waliojaa uwanjani walisombwa na malori kutoka mikoa ya jirani.
Hahaha umenikumbisha mbali sana..miaka mitatu iliyopita...mafuriko yaliwatesa sana upande wa piliHao waliojaa uwanjani walisombwa na malori kutoka mikoa ya jirani.
Watakuwa tayari wameshapiga hela za kutosha,hata waki bankrupt si mbaya saaana..Wakianguka Clouds, na WCB wakiwa kwenye peak wabongo wataanza fitina na majungu idondoke WCB waje wengine daah aisee hakuna kazi rahisi kama kutambua unafiki wa wabongo
Sorry,,hata waki drop si mbayaWatakuwa tayari wameshapiga hela za kutosha,hata waki bankrupt si mbaya saaana..
Sisi wabongo wengi hatuamini kwenye kuwa na viwili au zaidi, huwa tunataka awe mmoja azidi kutawala. Sijui haya mambo ni duniani kote au watz tu.Wakianguka Clouds, na WCB wakiwa kwenye peak wabongo wataanza fitina na majungu idondoke WCB waje wengine daah aisee hakuna kazi rahisi kama kutambua unafiki wa wabongo
Clouds wamefanya hii kitu miaka almost 20...utafananishaje...wakaze miaka kumi ndio waongee..na miaka michache ijayo Diamond atakuwa amekwisha nimeona Jana sio yule wa miaka minne iliyopita...Kwanini na clouds wasijiunge huko