MBNA baby mtoto mwenyewe alitulia tulii yeye tu ndio ilimuuma sana why? Jamaa hana akili the last time naonana na Harmo nilimuona mtu mstarabu sana lakini sasa ni trash tu.Any responsible father will do that!
do you know the meaning of father?Any responsible father will do that!
Mjomba mchumali kwisha habari yake😂😂😂sinza pazuri Holy Man mnalalaje wakuu 😋😀
do you know the meaning of father?
Ndio maana nikasema 'responsible' father pili,huwezi kujua sababu za baba mzazi kunyamaza kimya,ukweli ni kwamba Harmonize did what he was supposed to do..sasa wewe chagua familia over friends...mimi simlaumu hata kidogo family comes firstMBNA baby mtoto mwenyew alitulia tulii yeye tu ndo ilimuuma sana why? Jamaa hana akili the last time naonana na harmo nilimuona mtu mstarabu sana lakini sasa ni trash tu .. Mm sipo team yyte lakini kwa alichokifanya ni usnitch miaka ile watu wananmna hii wanapigwa tu mpaka akili zinakaa vyema
Mama mtu ndio master mind wa mchezo wote.. Keshakula ndizi sasa anatafuta kulitupa gandaIt is sick to watch...
Hata kama ndio uhuni sio wa Harmonize kumtaka Paula ilihali anatoka na mama yake...
Tunajua mmeliunda hili zengwe...
Eti Harmonize atume picha ya utupu kwa Paula...
Kweli mko desperate kumchafua...
Poleni,limewauma ndio maana mmekua desperate..
You know what hili nalo litapita na Konde boy ata survive tuu...
No never Rebeca! Konde na Kajala were still in initial stage ya kudate.. Hawana base firm grounds za Harmo kuwa na uchungu na wa kivileNdio maana nikasema 'responsible' father pili,huwezi kujua sababu za baba mzazi kunyamaza kimya,ukweli ni kwamba Harmonize did what he was supposed to do..sasa wewe chagua familia over friends...mimi simlaumu hata kidogo family comes first
Hii michezo ya hawa watoto huwa hawawazi ya mbeleniNayeye konde kwenda Central kumchongea rayyvany ili iweje si usnitch huo... Ka seng vileee...
Mmmh!??! Mwanaume unatoa ishara ya kujilamba mdomo unamanisha nini