mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,697
wanaishi miaka 10 zaidi Life expectancy ya mmarekani wa kawaida .
Sababu ni aina ya vyakula wanavyokula sawasawa na mahusia ya Bibilia na kujali mambo ya afya.
Pia Kwa sababu ya Pumziko la Sabato, ambalo linawaondolea stress, linawafanya akili zijipanhe upya na kuwanawirisha kiimani na kuwa na mahusiano ya kudumu na Mungu.
Hii ni kwa wasabato wote pia ulimwenguni wanaoishi kanuni za Bibilia sio wale wengine makanjanja ambao ni wasabato jina.
Hii inamfanya Mtu Kuwa Msabato ni uamuzi Bora kabisa wa kiafya na kiroho maishani mwake ambao hatajuta yeye na familia yake.
Source: HuffingtonPost
Sababu ni aina ya vyakula wanavyokula sawasawa na mahusia ya Bibilia na kujali mambo ya afya.
Pia Kwa sababu ya Pumziko la Sabato, ambalo linawaondolea stress, linawafanya akili zijipanhe upya na kuwanawirisha kiimani na kuwa na mahusiano ya kudumu na Mungu.
Hii ni kwa wasabato wote pia ulimwenguni wanaoishi kanuni za Bibilia sio wale wengine makanjanja ambao ni wasabato jina.
Hii inamfanya Mtu Kuwa Msabato ni uamuzi Bora kabisa wa kiafya na kiroho maishani mwake ambao hatajuta yeye na familia yake.
Source: HuffingtonPost