duh bongo kweli tambarare, mpaka huyu naye mbunge? wacha na mimi nirudi nyumbani kujiandaa kwa 2015, kama siasa za bongo ndio staili hii ina maana mtu yoyote anaweza kuukwaa ubunge haijalishi kama wewe ni mwanasiasa, btw hongera sana sugu ila jitahidi uwakilishe wapiga kura kivitendo kule bungeni na pigania kuleta msukumo wa maendeleo kwenye jimbo lako, ukifanya hivi bila shaka watakuchagua tena next time. All the best.