Yeah, ni kweli ushahidi upo. Ushahidi ni hukumu ya mahakama.Kuna ushahidi kweli wa maovu aliyofanya nguza au wamemsingizia??
Ushahidi wa hayo unayosikia? Nilitegemea wewe ndo ungetuwekea humu kuwa nimesikia kwa FULANI [ukimtaja kwa jina].Kwa wenye data zimwage, nasikia kuna mwanasiasa alikuwa na kisasi naye, je kuna ushahidi wa kutosha?
lakini, kama kweli huyo mtu alifunua vichupi vya amabinti zetu makinda namna ile, basi mi ningemnyonga, nisingemruhusu kuendelea kuishi, na kaburi lakeningeamuru libandikwe pale nakala ya picha yake akinyongwa pamoja na nakala ya hukumu yake na nakala nyingine aingie nayo kaburini.
ilinima na bado inaniuma sana....................
lakini, kama kweli huyo mtu alifunua vichupi vya amabinti zetu makinda namna ile, basi mi ningemnyonga, nisingemruhusu kuendelea kuishi, na kaburi lakeningeamuru libandikwe pale nakala ya picha yake akinyongwa pamoja na nakala ya hukumu yake na nakala nyingine aingie nayo kaburini.
ilinima na bado inaniuma sana....................