Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,196
Wana JF nimekuwa nikitafakari kuhusu lawama tunazomtupia sana Bw Ben Mkapa kwa kuuza Mashirika na Makampuni yetu kwa wageni au kwa wawekezaji kama tunavyosema, na sasa tunamuona Ben Kama paka mweusi kwa kazi aliyofanya(may be not on this one only), bila kuangalia ni nini kilichomfanya Ben afanye kama alichofanya, na sijui kama mimi na wewe tungekuwa alipokuwa Ben tungefanya nini wakati ule. Ni wazi kabisa kuwa kuna ka-uzembe kalifanyika au kulikuwa na ka-uvivu ka kufikiri ( kama Ben mwenyewe anavyosema) wakati wa process nzima, bila kujiandaa namna ya ku-reap baada ya kazi yenyewe kumalizika. Na namna ya kuwamilikisha watanzania uchumi wao kwenye mazingira ya wawekezaji wageni.
But wait a minute, was Ben really wrong? Was he really selling our country, or was he just trying to get things going? May be am the last standing skeptic. May be I would have done the same if I was wearing Bens shoes in 1996. I know this may make me sound like an idiot to some, but am not, I think am not.
Kuna siku nilikuwa naongea na Mheshimiwa mmoja aliniambia kuwa hakuna sababu ya kuwaleta nchini watu kufanya kazi ambazo sisi wenyewe watanzania tunaweza kuzifanya. There was a point where I though his words were making sense, and may be there is an element of truth in that. But being a Tanzanian myself, and after working with my fellow Tanzanians for decades, I concluded that, huo ni mtazamo finyu sana, ni mtazamo wa mtu kujifirkiria mwenyewe na sio kuifikiria Tanzania[Julius au NN angesema ndivyo tulivyo]. Labda ni mtazamo wa njaa njaa, au uswahili Swahili. I can clearly see that there is something terrible that we Tanzanians have and we do not want to admit, a cancer which is now eating us as a nation. There is only one man spoke candidly on this, Juma Kapuya. Sisi si waaminifu, tunaweza kufanya kazi vizuri sana, lakini then ni wezi wakubwa hata kama hatuna sababu ya kimsingi ya kuiba, tuna desturi ya kujiibia wenyewe, na kuwasifu wasio wezi. Kuna wanaotoa excuse ya mishahara midogo, lakini ukweli ni kuwa utaona mfanyakazi wa chini wa kampuni mwenye elimu ya gumbaro ni mwaminifu kweli, tena kwa mshahara mdogo tu, ukiangalia meneja mwenye mshahara mkubwa aliyesoma kuliko mzungu wa Oxford au wa US ni mwizi kweli, then why shouldnt I give a job which will benefit Tanzania to useful, less educated and very honest man, who can perform a bit less, and more profitable than my brother. Who is better for Tanzania, a thief brother or honesty honky boy from Cape town? Ni nani mwenye manufaa kwa Tanzania, mwizi mwenyeji alieyelimika sana au mgeni mwenye elimu kidogo mwaminifu na mwenye msaada mkubwa kwa Tanzania na watanzania??? if you give an intelligent answer to this question you will be surprised. Ni kweli unaweza kuwa kuna watanzania wachapakazi kweli, tena in some cases kuliko hata wageni, although wengine ni wavivu na wanapenda maisha ya kibongo kuishi kiushakji na mission town, lakini baadhi yao hasa wale ambao tumewapa dhamana ya uongozi wa makampuni wana unneeded extra-qualities ambazo hazifai kwa taifa letu . This was not politically correct for Ben to say.
Back to Ben stuff. Kuna jamaa mmoja wa PSRC nilikuwa namuuliza kuhusu kama kweli kulikuwa na haja ya kuuza makampuni, alisema wazi kabisa kuwa kila mahali kulikoingia foreign element, kimsingi kulionesha mabadiliko na mafanikio makubwa, japokuwa local elements (siasa za ubinafsi) ziliendelea kukwamisha baadhi ya mambo. Lakini nimekumbuka mengi sana niliyokuwa naongea na Mr Kavishe wa PSRC na kuangalia jinsi tulivyoichezea ATCL, Tazara etc naona kuwa Ben hakukosea sana. (Japokuwa kuna maswali mengi huko TRC).
Rev Kishoka, aliona kuwa ubinafsishaji ulikuwa na maana, lakini bahati mbaya haukufika hasa kwenye sehemu ambayo ilihitaji zaidi huo uninafsishaji, guess where?
WanaJF tunapolalamika kuhusu ufisadi tujiangalie na sisi wenyewe kwanza, na tuangalie vitendo vyetu vinaifanyia nini Tanzania. Otherwise na sisi tutakuwa walewale tunaopambana nao.
But wait a minute, was Ben really wrong? Was he really selling our country, or was he just trying to get things going? May be am the last standing skeptic. May be I would have done the same if I was wearing Bens shoes in 1996. I know this may make me sound like an idiot to some, but am not, I think am not.
Kuna siku nilikuwa naongea na Mheshimiwa mmoja aliniambia kuwa hakuna sababu ya kuwaleta nchini watu kufanya kazi ambazo sisi wenyewe watanzania tunaweza kuzifanya. There was a point where I though his words were making sense, and may be there is an element of truth in that. But being a Tanzanian myself, and after working with my fellow Tanzanians for decades, I concluded that, huo ni mtazamo finyu sana, ni mtazamo wa mtu kujifirkiria mwenyewe na sio kuifikiria Tanzania[Julius au NN angesema ndivyo tulivyo]. Labda ni mtazamo wa njaa njaa, au uswahili Swahili. I can clearly see that there is something terrible that we Tanzanians have and we do not want to admit, a cancer which is now eating us as a nation. There is only one man spoke candidly on this, Juma Kapuya. Sisi si waaminifu, tunaweza kufanya kazi vizuri sana, lakini then ni wezi wakubwa hata kama hatuna sababu ya kimsingi ya kuiba, tuna desturi ya kujiibia wenyewe, na kuwasifu wasio wezi. Kuna wanaotoa excuse ya mishahara midogo, lakini ukweli ni kuwa utaona mfanyakazi wa chini wa kampuni mwenye elimu ya gumbaro ni mwaminifu kweli, tena kwa mshahara mdogo tu, ukiangalia meneja mwenye mshahara mkubwa aliyesoma kuliko mzungu wa Oxford au wa US ni mwizi kweli, then why shouldnt I give a job which will benefit Tanzania to useful, less educated and very honest man, who can perform a bit less, and more profitable than my brother. Who is better for Tanzania, a thief brother or honesty honky boy from Cape town? Ni nani mwenye manufaa kwa Tanzania, mwizi mwenyeji alieyelimika sana au mgeni mwenye elimu kidogo mwaminifu na mwenye msaada mkubwa kwa Tanzania na watanzania??? if you give an intelligent answer to this question you will be surprised. Ni kweli unaweza kuwa kuna watanzania wachapakazi kweli, tena in some cases kuliko hata wageni, although wengine ni wavivu na wanapenda maisha ya kibongo kuishi kiushakji na mission town, lakini baadhi yao hasa wale ambao tumewapa dhamana ya uongozi wa makampuni wana unneeded extra-qualities ambazo hazifai kwa taifa letu . This was not politically correct for Ben to say.
Back to Ben stuff. Kuna jamaa mmoja wa PSRC nilikuwa namuuliza kuhusu kama kweli kulikuwa na haja ya kuuza makampuni, alisema wazi kabisa kuwa kila mahali kulikoingia foreign element, kimsingi kulionesha mabadiliko na mafanikio makubwa, japokuwa local elements (siasa za ubinafsi) ziliendelea kukwamisha baadhi ya mambo. Lakini nimekumbuka mengi sana niliyokuwa naongea na Mr Kavishe wa PSRC na kuangalia jinsi tulivyoichezea ATCL, Tazara etc naona kuwa Ben hakukosea sana. (Japokuwa kuna maswali mengi huko TRC).
Rev Kishoka, aliona kuwa ubinafsishaji ulikuwa na maana, lakini bahati mbaya haukufika hasa kwenye sehemu ambayo ilihitaji zaidi huo uninafsishaji, guess where?
WanaJF tunapolalamika kuhusu ufisadi tujiangalie na sisi wenyewe kwanza, na tuangalie vitendo vyetu vinaifanyia nini Tanzania. Otherwise na sisi tutakuwa walewale tunaopambana nao.