Was lost, sasa nimerejea..

Ulipotelea wapi ndugu yangu, karibu sana, hapa tupo wengi ambao hukutuacha lakini sasa ni wenyeji zaidi yako. Karibu sana!!!
 
welcome mkubwa,tumo ndani kwako ila "punguza" kila kilicho kufanya upotee usiondoke tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom