Clavery Getema
New Member
- May 21, 2021
- 2
- 1
Walipenda starehe mno enzi hizo hata muafrika hajagundua matumizi ya kigunzi wala kufanya mapinduzi ya matumizi ya kona kwa kujisafisha.
wakati huo waarabu walikuwa wanatita kwenye mchanga wa jangwani, na wabantu wakirusha tu makimba msituni kama kawaida yao.
yaani ukifika maeneo yote waliyotawala warumi, hutaamini technolojia ya majengo yaliyojengwa miaka zaidi ya 2000 iliyopita, ambayo mtu hata akimaliza udsm engineering pale, hana uwezo kujenga. huwa nashangaa sana.Na wala hawakuwa na degree za civil engineering
Ndiyo vilikua vyoo vya jumuiya
Mkuu shida ni Elimu au nini maana unacho zungumza ndo ukweli wenyeweyaani ukifika maeneo yote waliyotawala warumi, hutaamini technolojia ya majengo yaliyojengwa miaka zaidi ya 2000 iliyopita, ambayo mtu hata akimaliza udsm engineering pale, hana uwezo kujenga. huwa nashangaa sana.
hii ilikuwa karne ya ngapi mtoa mada ?Haya ma basin yaliweka maji ya kunawia, vyoo vilijengwa karibu na chemichemi na kulikua na mtiririko wa maji unaosafisha uchafu.
Yaani wote mnapiga show hadharani? Mimi nisngetumia hivyo vyoo ningeenda zangu porini tu.Ndiyo vilikua vyoo vya jumuiya.
Tena walijenga madaraja na majumba ambayo yamedumu kwa karne na karne.Na wala hawakuwa na degree za civil engineering
Unaenda kujificha nini wakati wote mnashinda uchi bila nguo!Yaani wote mnapiga show hadharani? Mimi nisngetumia hivyo vyoo ningeenda zangu porini tu.