lukubuzo Samsis
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 2,915
- 3,340
Aliolewa j4 coz kesho yake ilikuwa ni jumatano ya majivu kwa resma inaanza hakuna kufunga ndoa katoliki mpaka kwa resma ishe/pasaka.warumi Lulu amekosa kitchen party, ameolewa ndoa kama ya watu wazima waliokwisha zaa sasa wanahalalisha tu. Tulitegemea harusi ya Jumamosi baada ya send off.
Naona wameshindwa kusubiri.