"Wars" fought by Tanzania

Pole
Niliwaambia wabongo kuwa hata ukiwa na baiskeli ambayo haina shida yeyote, huwezi kujifananisha na mtu mwenye gari ambalo lina puncture. Go to your lane brother.Siku hizi Ghana, Rwanda ndiyo wako level moja na nyinyi. Saa hizi tunajipima nguvu na Morocco , Algeria , Egypt , SA
 
Sasa wewe umezaliwa 90s,unaweza kujua mission zote Jwatz,tulizofanya?
Ukifika Morogoro,Iringa,kuna vitongoji vinaitwa Soweto,Mandera,unafikiri hayo majina yalikuja tu,
Kulikuwa na makambi kibao tulipokuwa tunatoa mafunzo ya kivita kwa nchi za kusini mwa Afrika,
Angola,SA,msumbiji,usisahau Idi Amin alisaidiwa na Libya wakati tunampa kichapo
😂😂😂
 
Niliwaambia wabongo kuwa hata ukiwa na baiskeli ambayo haina shida yeyote, huwezi kujifananisha na mtu mwenye gari ambalo lina puncture. Go to your lane brother.Siku hizi Ghana, Rwanda ndiyo wako level moja na nyinyi. Saa hizi tunajipima nguvu na Morocco , Algeria , Egypt , SA
Tanzania has natural gas with the price tag of more than 1.5 trillion USD Confirmed recoverable, once we finish the current deal negotiations of more than 30 billions USD ndio tutaanza kuongea kwa vituo. We will be giving you loans. Though you should be thankful for being our neighbour its something to thank God everyday.
 
Tanzania has natural gas with the price tag of more than 1.5 trillion USD Confirmed recoverable, once we finish the current deal negotiations of more than 30 billions USD ndio tutaanza kuongea kwa vituo. We will be giving you loans. Though you should be thankful for being our neighbour its something to thank God everyday.
Tanzania has always had more resources than KE, diamonds, arable land, Tanzanite, adequate rainfall , peace and unity.
Bigger population.
 
By the way TPDF haijawahi kwingia vita akiwa peke yake, lazima kuwe na Nchi zingine alafu unapata wakiimba ule wimbo wa "tulipigania Afrika". TPDF ni rag tag army hata saa hii h2h dhidi ya Uganda, watachapwa ka burukenge. Ikifika ni Rwanda inakuwa pyrric victory kwa jwtz.
 
By the way TPDF haijawahi kwingia vita akiwa peke yake, lazima kuwe na Nchi zingine alafu unapata wakiimba ule wimbo wa "tulipigania Afrika". TPDF ni rag tag army hata saa hii h2h dhidi ya Uganda, watachapwa ka burukenge. Ikifika ni Rwanda inakuwa pyrric victory kwa jwtz.
 
We are not interested in posturing and empty shows of might.
sasa kuchoma kuku na kuuza ng'ombe hiyo hapa ni kazi ya NYS.
Ethiopian security sometimes trespasses in pursuit of criminals from their country, it's called "Hot Pursuit" ,and its legal..
In Eastern Africa,Kenya is the only nation that has never been invaded. Even Iddi Amin could not dare.
not invaded you say? The row with museven over an island in lake Victoria which has been taken by Uganda more than once isn't invasion? Well, that's not being friendly, that's cowardice
 
View attachment 1063718
Bongo people are always here bragging of how their army has fought many wars, today i decided to check the details of those wars.

I don't want to be-little them, but just to be honest, the only conflict here that can be called a war is the UG - TZ war . It was an all long out conflict , but the truth is that Ugandans were tired of Iddi Amin too.

In fact when he had threatened to invade Kenya earlier, many Ugandans were hoping Amin does so because they knew that's the only way they could remove him.

There were already rebels from Uganda in Tz also opposed to Amin.

The other engagements were just operations that TZ was involved in co-operation with other countries.
These operations are not even tougher than the Anti-stock thefts operations done by GSU against cattle thieves in Pokot/Turkana areas.

They are not even comparable to the shifta guerilla warfare(1963 – 1967) in the North Eastern province which was funded by Somali Govt.

Like that engagement in the Mozambican Civil War , ended in a stalemate, all combatants had to sit and agree on a cease fire.

Come to 2019, TPDF is a paper-tiger.
The below comments are not mine, they are even probably made by TZ generals.

View attachment 1063720

We have not seen any significant upgrades from 2012, just beautiful parades with a few SAMs in display.

View attachment 1063719

In a full blown out war with an enemy of equal footing, TZ cannot as of this moment successfully coordinate their land-air and sea units effectively.
Your air-force is poorly trained and un-cordinated
Your air transport is under-equipped
Your air -support is non existent
Your Mechanized infantry is in shambles and consists of a few old armored personnel carriers.

The only hope with TPDF right now is to result to a suicidal kamikaze type of defence or a guerrilla warfare in case of an attack.
Fight Al Shabaab first, if and only if you win the come here start a thread like this.
 
Wewe kutokujua kingereza ni ujinga na uzembe kama ilivyo kawaida yenu, maana mnafundishwa shuleni tatizo mpo wazembe wa kutupwa.
Sasa anayenifundisha naye ni Mtanzania. What if they doesn't know what they are teaching. Hivi ukipanda mango unategemea kuvuna mpunga?
 
Hehehe!! Umewaumbua balaa, japo lugha gongana, wengi hawataelewa hata umeandika nini.
Alshabab wanakongota Mara nyingi
Wamewateka wanajeshi wenu...hko somalia kuna KDF soldier P.O.W kibao...
Fanyeni muwarudishe

Ova
 
Japo kua kesjhi letu unalizarau ewe mtoa mada but mbona hujatuambia wale Alshabab wanao wasumbueni,je wao wanandege vita ngapi? And how mechanized their infantry is?
 
Back
Top Bottom