Hahahhaah aione komredi johnthebaptistWalau wewe unaonekana upo na connectiin siyo kama johnthebaptist hata nauli ya kivuko hana sasa hv kajificha Kihesa anarusha nyuzi mpya kila baada ya dk 5
😂😂Pitilizeni mpaka mbuga ya burigi chato kwa mara ya mwisho kabisa mkajionee hapo twiga na chui walioletwa hapo mbugani kwa kuvalishwa mizula.
Ni south africa sio tzHii picha ya enzi ya utawala wa mkwere!!
Walau wewe unaonekana upo na connectiin siyo kama johnthebaptist hata nauli ya kivuko hana sasa hv kajificha Kihesa anarusha nyuzi mpya kila baada ya dk 5
Ww kumbe mtu wa iringa unakula mbwa wwMchungaji Msigwa kwa sasa ni balozi wa maziwa ya Asas na akina Haji Manara amepewa connection na mzee Mgaya!
Kihesa kuna ulanzi atakuwa anakunywa ulanzi semtemaWalau wewe unaonekana upo na connectiin siyo kama johnthebaptist hata nauli ya kivuko hana sasa hv kajificha Kihesa anarusha nyuzi mpya kila baada ya dk 5
Uko sawa mkuu, ligi depends on the person behind the wheel na siyo chuma tu...Ligi inategemea una cruiser gani ila kama ni 1HZ kwa mwendo hamtambii IST ya 1.5L
Twiga hawa wapo Tanzania?
Wako south Africa wachache sana na rare. Sisi wapenda wanyama (Animal lovers) tulimaindi sana malasili africa kusini kutoa vibali kuwindwa. Wenyewe wanajitetea umri wao mkubwa na wanamatatizo ya kiafyaTwiga hawa wapo Tanzania?