RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,424
Binadamu Tuna mtindo wa Kuwadharau watu fulani ambao kwa Hali ya Kawaida Ni watu Muhimu na Most Dangerous katika Maisha Yetu just In a snap of A Finger anakushusha Chini.
Walinzi wa Majumbani mwetu(Wafanyakazi wa ndani) na Walinzi wa Mali zetu hasa Maduka kwa hapa Tanzania ni watu ambao Kuna baadhi ya Matajiri(waajiri) wanawadharau sana hawa watu na Wanafikia Hatua Ya Kuwapunguzia Mshahara au Kuwacheleweshea au Kuwalipa Kitu Tofauti na Pesa ,mfano kuwanunulia Nguo na Kiwaambia Ndo Mshahara wao Huo
Tukianza Na Wafanyakazi wa Ndani
1. Kuna Video Clips Mbalimbali za Mitandao ya Kijamii za Wafanyakazi wakiwapiga Watoto wa Maboss wao. Hizi Video Usidhani kwamba Wale Wafanyakazi wanawapiga Hao Watoto kwa bahati mbaya ,ukikaa Chini na Ukafikiria Utakuja Kugundua Kuwa Kuna Kitu behind the Scene kwa Huyo Mfanyakazi anachofanyiwa Na Boss wake kinachopelekea Huyo Mfanyakazi kulipiza Kisasi kwa Mtoto maana Mzazi ndio ataumia zaidi . Nimeshuhudia Wafanyakazi wa ndani wakionewa sana na Maboss wao hasa Mama Mwenye Nyumba Inafikia Hatua nasema Hivi Huyu Mfanyakazi siku moja Akiamua Kuwawekea Sumu hawa Watoto wa Boss au Familia nzima Atakuwa Amekosea Kweli ,maana Mfanyakazi apumziki Yeye ni kazi Masaa 15-20 kwa Siku na Watoto juu na Mwisho wa Siku anaambulia Matusi kwa Boss ,
Mfanyakazi unakuta Yeye ameshaamka Asubhi Amehudumia Kuanzia Watoto...Chai ya Mzee na Mama... Ameenda Kukamua Maziwa... amechemsha ... Ameshaweka mezani, vyombo vinamsubiri , mama mwenye Nyumba Hata Hajigusi kabisa yeye Ni kutoa Amri tu mbona vile ni Vichafu ... Huku mezani hupaoni... Kuna Wageni wanakuja Umeshasafisha Chumba Chao... Mtoto wa watu Nafanywa Punda ndani likizo hakuna ,akisema Amechoka Anaambiwa Acha Kazi na Hapo hajalipwa Mshahara wake Wa Miezi Miwili nyuma anaamua Akae tu avumilie. Unakuta Ni Mtoto wa Kike() ana Matamanio ya Mwili Anahitaji kukutana na Mwanaume wa kumliwaza hapewe haki yake ya Likizo . Una Watoto wako wa Kiume hapo Ndani Hivi unategemea Huyo Mfanyakazi kwanini asibebe mwanao wa Kiume Amweke Kwenye kikojoleo chake hata Kimguse Tu Afurahi .. kama Ndo umetegesha Kamera Yako ya CCTV tegemea Matokeo ya Kumnyima Likizo.
2. Tuje kwa Walinzi wa Mali Zetu
We unaishi Mtaa A unafanya Biashara zako Mtaa B. Unaenda na Kurudi Nyumbani lakini unahitaji mlinzi wa Mali zako Either awe wa Kampuni au Laah ila Wengi tunapenda Wale wanaotambulika yaani wa Kampuni ya Ulinzi.. sasa Wafanyabiashara wengi naona Hawajui kuishi na Walinzi wao vizuri hasa wakishajua Eti Wametoa Pesa Kwenye Kampuni... Tanzania watu wake ni maskini usitegeme Kuna Watu watakuja Kwa Lengo moja Peke yake eti anatoa Uhai wake kisa Mali zako Thubutu........ Hawa Walinzi kaeni nao vizur makampuni mengi ya Ulinzi Mnapoingia nayo mikataba Yanawalipa Hela Ndogo Hawa Walinzi Tofauti na Uliyoipa Kampuni.. sas Inapotokea Mlinzi anayelinda mali zako Analipwa Kidogo na Wewe mwenye mali unamleta Ujuaji utakiona Cha Moto,
Nimeshakaa na Mlinzi mmoja amabye huwa analinda kwangu ni Hivi hawa jamaa wanaona Mengi na Wasio waaminifu ndo wanashirikiana na Waalifu kwa Kuwaambia Kabisa Kaibeni pale na Pale ,maana Wale maboss huwa wanoko sana na Hawalipi pesa....... Ukiingia Asubhi unakuta Duka Linakucheka
Hii ni Warning Usijifanye Mjuaji Ishi na Watu Vizuri umekuja Mjini Leo Ni Boss kesho unaweza Kuwa Mfanyakazi kwa Mtu...
Walinzi wa Majumbani mwetu(Wafanyakazi wa ndani) na Walinzi wa Mali zetu hasa Maduka kwa hapa Tanzania ni watu ambao Kuna baadhi ya Matajiri(waajiri) wanawadharau sana hawa watu na Wanafikia Hatua Ya Kuwapunguzia Mshahara au Kuwacheleweshea au Kuwalipa Kitu Tofauti na Pesa ,mfano kuwanunulia Nguo na Kiwaambia Ndo Mshahara wao Huo
Tukianza Na Wafanyakazi wa Ndani
1. Kuna Video Clips Mbalimbali za Mitandao ya Kijamii za Wafanyakazi wakiwapiga Watoto wa Maboss wao. Hizi Video Usidhani kwamba Wale Wafanyakazi wanawapiga Hao Watoto kwa bahati mbaya ,ukikaa Chini na Ukafikiria Utakuja Kugundua Kuwa Kuna Kitu behind the Scene kwa Huyo Mfanyakazi anachofanyiwa Na Boss wake kinachopelekea Huyo Mfanyakazi kulipiza Kisasi kwa Mtoto maana Mzazi ndio ataumia zaidi . Nimeshuhudia Wafanyakazi wa ndani wakionewa sana na Maboss wao hasa Mama Mwenye Nyumba Inafikia Hatua nasema Hivi Huyu Mfanyakazi siku moja Akiamua Kuwawekea Sumu hawa Watoto wa Boss au Familia nzima Atakuwa Amekosea Kweli ,maana Mfanyakazi apumziki Yeye ni kazi Masaa 15-20 kwa Siku na Watoto juu na Mwisho wa Siku anaambulia Matusi kwa Boss ,
Mfanyakazi unakuta Yeye ameshaamka Asubhi Amehudumia Kuanzia Watoto...Chai ya Mzee na Mama... Ameenda Kukamua Maziwa... amechemsha ... Ameshaweka mezani, vyombo vinamsubiri , mama mwenye Nyumba Hata Hajigusi kabisa yeye Ni kutoa Amri tu mbona vile ni Vichafu ... Huku mezani hupaoni... Kuna Wageni wanakuja Umeshasafisha Chumba Chao... Mtoto wa watu Nafanywa Punda ndani likizo hakuna ,akisema Amechoka Anaambiwa Acha Kazi na Hapo hajalipwa Mshahara wake Wa Miezi Miwili nyuma anaamua Akae tu avumilie. Unakuta Ni Mtoto wa Kike() ana Matamanio ya Mwili Anahitaji kukutana na Mwanaume wa kumliwaza hapewe haki yake ya Likizo . Una Watoto wako wa Kiume hapo Ndani Hivi unategemea Huyo Mfanyakazi kwanini asibebe mwanao wa Kiume Amweke Kwenye kikojoleo chake hata Kimguse Tu Afurahi .. kama Ndo umetegesha Kamera Yako ya CCTV tegemea Matokeo ya Kumnyima Likizo.
2. Tuje kwa Walinzi wa Mali Zetu
We unaishi Mtaa A unafanya Biashara zako Mtaa B. Unaenda na Kurudi Nyumbani lakini unahitaji mlinzi wa Mali zako Either awe wa Kampuni au Laah ila Wengi tunapenda Wale wanaotambulika yaani wa Kampuni ya Ulinzi.. sasa Wafanyabiashara wengi naona Hawajui kuishi na Walinzi wao vizuri hasa wakishajua Eti Wametoa Pesa Kwenye Kampuni... Tanzania watu wake ni maskini usitegeme Kuna Watu watakuja Kwa Lengo moja Peke yake eti anatoa Uhai wake kisa Mali zako Thubutu........ Hawa Walinzi kaeni nao vizur makampuni mengi ya Ulinzi Mnapoingia nayo mikataba Yanawalipa Hela Ndogo Hawa Walinzi Tofauti na Uliyoipa Kampuni.. sas Inapotokea Mlinzi anayelinda mali zako Analipwa Kidogo na Wewe mwenye mali unamleta Ujuaji utakiona Cha Moto,
Nimeshakaa na Mlinzi mmoja amabye huwa analinda kwangu ni Hivi hawa jamaa wanaona Mengi na Wasio waaminifu ndo wanashirikiana na Waalifu kwa Kuwaambia Kabisa Kaibeni pale na Pale ,maana Wale maboss huwa wanoko sana na Hawalipi pesa....... Ukiingia Asubhi unakuta Duka Linakucheka
Hii ni Warning Usijifanye Mjuaji Ishi na Watu Vizuri umekuja Mjini Leo Ni Boss kesho unaweza Kuwa Mfanyakazi kwa Mtu...