Warning: Uzushi kuhusu hayati Chacha Wangwe na Deus Mallya ukome!

Sasa hii warning alert inatolewa na wewe kama nani?

yani umeandika vituko tupu. Sioni maana ya hii warning alert.
 
Mwulizeni Mtikila.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

Mtikila alipopolewa mawe tarime aliposema CDM ndo walomuua, aliporudi dar alikiri kupotoshwa na magamba ambao walimdhulumu fedha walomuahidi kwa uongo huo
 
Kelele nyingi bila mpangilio wa sauti. Ni kama taarabu za Komba





Mpuuzi mpuuzie mkuu, maana hata hajielewi anachokiongea Chacha Wangwe alifariki ajalini alipokuwa anatoka dodoma kuja dar kuhudhuria msiba wa mbunge wa kwanza wa tarime marehemu Bhoke Mnanka, zingine ni bla bla zisizo na mashiko
 
Salaam!
Mnamo Tarehe 5/03/2012 Mahakama ya Rufani Dodoma ilitoa hukumu ya Rufaa kati ya DEUS MALLYA v/s JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA (Criminal Appeal no. 52/2010). Hukumu hiyo iliyopinga maamuzi ya Criminal Appeal no.34/2009 iliondoa Hatia na hukumu zote za awali zilizomtia hatiani Ndg.DEUS MALLYA juu ya makosa aliyoshtakiwa nayo na kutiwa nayo hatiani ambayo yalikuwa ni.

(i) Causing Death throug dangerous Driving
(ii) Driving a motorvehicle without a valid driving licence.
Hukumu hiyo ilitolewa na jopo la Majaji watatu ambao ni.
1.The Honourable Mr. Justice H.R. Nsekela - JA
2.The Honourable Madame Justice N.P. kimaro - JA
3. The Honourable Mr. Justice B.M. Luanda - JA

Kwa muda mrefu sasa tumeshuhudia wanasiasa uchwara wakiendelea kunasibu tatizo la kifo cha Hayati Wangwe (R.I.P) kwa namna wanavyotaka. Pia vijana wepesi wa hoja na masikini wa kufikiri wamekuwa wakitumia msiba ule hadi leo kwa mambo ya hovyo hovyo!..

Ni busara kama mtu akikosa cha kuandika ajisomee vitabu au alale badala ya kuendelea na upotoshaji usiokubalika katika jamii ya kistaarabu.

Tulipoteza mwanasiasa mzalendo na mahili kwa taifa hili lenye uitaji wa wanasiasa mfano wa Chacha Wangwe. Swali ni kwanini afariki kwa ajali wakati akiwa na mgogoro na Mbowe? Na ni kwanini kifo chake hakijadhaminiwa kiasi kikubwa ukilinganisha hata na mwangosi aliyefia katika majukumu yake ila akajengewa Mnara eti kumuadhimisha? etc etc etc.
 
jaji anapotoa hukumu hutakiwa kuhukumu kupitia material facts zilizoletwa mezani pekee na si vinginevyo....... kama kuna material facts ambazo hazikuletwa mezani, na hata kama anazijua hatakiwi kuhukumu kwazo.....
THATS WHAT HAPPENED...!
 
Salaam!
Mnamo Tarehe 5/03/2012 Mahakama ya Rufani Dodoma ilitoa hukumu ya Rufaa kati ya DEUS MALLYA v/s JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA (Criminal Appeal no. 52/2010). Hukumu hiyo iliyopinga maamuzi ya Criminal Appeal no.34/2009 iliondoa Hatia na hukumu zote za awali zilizomtia hatiani Ndg.DEUS MALLYA juu ya makosa aliyoshtakiwa nayo na kutiwa nayo hatiani ambayo yalikuwa ni.

(i) Causing Death throug dangerous Driving
(ii) Driving a motorvehicle without a valid driving licence.
Hukumu hiyo ilitolewa na jopo la Majaji watatu ambao ni.
1.The Honourable Mr. Justice H.R. Nsekela - JA
2.The Honourable Madame Justice N.P. kimaro - JA
3. The Honourable Mr. Justice B.M. Luanda - JA

Kwa muda mrefu sasa tumeshuhudia wanasiasa uchwara wakiendelea kunasibu tatizo la kifo cha Hayati Wangwe (R.I.P) kwa namna wanavyotaka. Pia vijana wepesi wa hoja na masikini wa kufikiri wamekuwa wakitumia msiba ule hadi leo kwa mambo ya hovyo hovyo!..

Ni busara kama mtu akikosa cha kuandika ajisomee vitabu au alale badala ya kuendelea na upotoshaji usiokubalika katika jamii ya kistaarabu.

Nendeni huko nyinyi chadema ni wauwaji mumemuua chacha na ukweli unajulikana sema mumegonga mwamba kwa zzto
 
Deus Malya alifanya yale aliyotumwa na he has been rewarded for the successfully completion of special mission. Walianza na Kolimba, Kombe, Chacha Wangwe, Mwangosi, Ulimboka, bomu kwenye M4C, Dr. Mvungi..! Wembe ni uleule kwa wenye viherehere..! In all cases individuals were rewarded for good job...! Wapigwe tu, tumechoka sasa..! PM Pinda..!
 
MBONA HAMTUAMBII ILIPOPELEKWA ILE computer mpakato(laptop) ya CHACHA WANGWE???
nadhani imepelekwa kulekule ilikopelekwa ya MWIGAMBA

Wewe ni mwanaye unaitaka kwa ajiri ya urithi??!
Nenda kwenye ukoo uwaambie alikuzaa kwa mama wa nje!
 
Kelele nyingi bila mpangilio wa sauti. Ni kama taarabu za Komba





Mpuuzi mpuuzie mkuu, maana hata hajielewi anachokiongea Chacha Wangwe alifariki ajalini alipokuwa anatoka dodoma kuja dar kuhudhuria msiba wa mbunge wa kwanza wa tarime marehemu Bhoke Mnanka, zingine ni bla bla zisizo na mashiko

CCM wanakumbuka misiba...
Sisi tunakumbuka ahadi zao za mwaka 2005-2010, na za 2010-2015
Tunawasubiria ulingoni!
Wasijetwambia walishindwa kutimiza kwa Sababu hakuwepo Chacha Wangwe (R.I.P)!
 
ulianza vizur, angalia vijana wasikutoe kwny mstar kwa kupanic_'naona hoja hapo, hebu tusaidie_hiv Mallya alikuwa dereva wa Wangwe?

Alikuwa dreva wa nani?
Kwani Salome Mbatia alikuwa anaendeshwa na dreva wa nani?
Kama mtu anaendesha gari mwenyewe na kupata ajali, kwa nini owe ishu anapoendeshwa na mtu mwingine?!
Dili la msiba wa kamanda Wangwe lilibuma tangia wakati wa uchaguzi uleeeee!
Muulize mzee Makamba anajua!
 
Hujaelewa nini Hapo Mkuu.. Mbona andiko lipo wazi kabisa?
Eleza unatatizwa na nini.

Kama umeona kuna haja ya kutuelewesha huna budi kufanya hivyo bila chembe ya hasira...wala kukoroma...bwana anasema hajaelewa..fafanua..si kila mmoja anajua kutafsir maneno ya kisheria ujuavyo,.
 
Deus Malya alifanya yale aliyotumwa na he has been rewarded for the successfully completion of special mission. Walianza na Kolimba, Kombe, Chacha Wangwe, Mwangosi, Ulimboka, bomu kwenye M4C, Dr. Mvungi..! Wembe ni uleule kwa wenye viherehere..! In all cases individuals were rewarded for good job...! Wapigwe tu, tumechoka sasa..! PM Pinda..!

Inaelekea una story nzuri sn khs hao watu! tuelezee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom