Kama kuna siri au Hakuna Siri juu ya marehemu chacha wangwe Mungu ndie anajua tu ! Na kama kuna Jambo la siri na la kweli ndugu rafiki au mtanzania yeyote analihisi lina ukweli alete hapa JF tulipime uzito wake kisha tunamwachia mungu tu
Mwulizeni Mtikila.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums