Invisible
JF Admin
- Feb 26, 2006
- 16,286
- 8,371
Kuna member ana nick ya "Sikazi" amekuja na njia moja ya Spamming ambayo niwafahamishe members wengine kuwa ikitumika kwenu bila hiari yenu tufahamishe HARAKA iwezekanavyo.
Ujumbe huo unakupa link ya kuweza kujaribu kuingia kuona "passwords" za watu wengine; Ukijaribu kufuata link hio inaweza kukufanya uoneshe password yako kwa yeye na hivyo kucompromise your privacy. JF haitauliza password yako au kutuma email ya kutaka kuoneshe password yako KWA SABABU YEYOTE ILE. Tunauwezo wa kureset password yako bila ya kuuliza password ya zamani.
Kwa wale ambao walienda kujaribu kufungua link hiyo hakikisheni mmebadilisha password zenu kupitia CP.
Spamming of any kind is strictly not allowed on JF! Katika pitia PM zangu nimekumbana na malalamiko toka kwa members wawili mchukia fisadi na Yebo Yebo ambao kusema kweli ndo wamenishtua nikaamua kufuatilia na kugundua katuma ujumbe wa aina hii kwa members wengi zaidi kama waonekanavyo chini hapa:
Banning is not the only solution for such people!
Kind regards
Ujumbe huo unakupa link ya kuweza kujaribu kuingia kuona "passwords" za watu wengine; Ukijaribu kufuata link hio inaweza kukufanya uoneshe password yako kwa yeye na hivyo kucompromise your privacy. JF haitauliza password yako au kutuma email ya kutaka kuoneshe password yako KWA SABABU YEYOTE ILE. Tunauwezo wa kureset password yako bila ya kuuliza password ya zamani.
Kwa wale ambao walienda kujaribu kufungua link hiyo hakikisheni mmebadilisha password zenu kupitia CP.
Spamming of any kind is strictly not allowed on JF! Katika pitia PM zangu nimekumbana na malalamiko toka kwa members wawili mchukia fisadi na Yebo Yebo ambao kusema kweli ndo wamenishtua nikaamua kufuatilia na kugundua katuma ujumbe wa aina hii kwa members wengi zaidi kama waonekanavyo chini hapa:
- Sanda Matuta
- Timtim
- womenofsubstanc
- Tonga
- naimaomari
- Kasheshe
- Yebo Yebo
- WildCard
- QM
- mchukia fisadi
- Kana-Ka-Nsungu
- Jasusi
- Bubu ataka kusema
- Alinda
Banning is not the only solution for such people!
Kind regards
Last edited by a moderator: