Big up to dushelele... nikiwaambia dushelele inafanya kazi katika mazingira ya joto na kiza kila siku hamuamini, haya semeni tene mbona hata hapa haijaungua, halafu ilikuwa imebarikiwa sijui kama Preta, Charminglady na wenzake wameona hii.Ukiwa Mwizi mda mwingine uangalie cha kuiba angalia kilichomtokea mwizi huyu wa nya za umeme
Ni kwamba Testicles, penile head na viungo vingine vya kike, ni heat resistance. Na piaInasikitisha sana ............. lakini mbona dushelele hauijaungua?
Huyu atakuwa sio mtaalamu, ona kafa huku ameshika msumeno wake mkononi duuhh.Ukiwa Mwizi mda mwingine uangalie cha kuiba angalia kilichomtokea mwizi huyu wa nya za umeme
hapo imelala
hapo imelala
Inasikitisha sana ............. lakini mbona dushelele hauijaungua?
R.I.P mtanzania mwenzetu! Mlalahoi! najua ulikuwa unajitafutia riziki.
R.I.P mtanzania mwenzetu! Mlalahoi! najua ulikuwa unajitafutia riziki.
r.i.p mwenzetu!
kuna uwezekano mkubwa umeme ulikatika yeye akaamua akate kabla haujarudi au wenzie wamemrubuni, siamini kama anaweza kwenda kukata tu bila kujua umeme ni nini. :rip:Yani jamaa alikua anakata nyaya za High Tension na msumeno wakukatia nondo?
Chezea kaa la Tanesco, aliyeligundua lilimaliza sembuse weye!
Huyu atakuwa sio mtaalamu, ona kafa huku ameshika msumeno wake mkononi duuhh.
Nyaya, transfoma au kitu gani?
mara nyingi nionapo wezi waliochomwa inshu inakuwa nzima yani haijaungua sana cjui kwanini inakuwa ya mwishoKwa nini isishike wakati ina mafuta ya kutosha tu!!!
Inasikitisha sana ............. lakini mbona dushelele hauijaungua?