Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Kuna maswali mengi miongoni mwa Wanachadema katika majimbo ya Muleba Kusini, Kaskazini, Bukoba vijijini, Nkenge na Bukoba mjini kuhusu nani wa kuwatoa wabunge walioko sasa katika uchaguzi wa 2015. Wanachama wanapenda kujua mapema nani ataweza kuwatetea vilivyo kupitia CDM hasa baada ya CCM kuanza kupoteza Muelekeo.
Kule Kwenye jimbo la Nkenge haijulikani nani ataweza kuipeperusha bendera ya CDM, kuna jamaa mmoja alitaja jina la somebody Malinzi nisijue kama ni Jamal au Dioniz watu wakasema kuwa wale ni ccm damu.
Upande wa Muleba Kaskazini, Kusini, Bukoba vijijini bado wanachadema hawajajua nani atatangaza nia ili maandalizi yaanze mapema na sio kuibuka mwishoni ghafla na kujitoa kama ilivyokuwa kwa Focus kule nkenge.
Kwa Bukoba Mjini wadau wanasema Gratian Mukoba atapambana na Kagasheki na ana Mvuto kuliko Rwakatare Wilfred. Sijui wadau wengine wanalisemaje ili. Walau Mukoba akitajwa walio wengi wanakubali kuliko kumtaja Rwakatare tena.
Kwa hiyo wale wote wenye lengo la kuwaondoa wabunge wa ccm walioko hivi sasa inabidi wawe na long term plan.....mje kwa wadau tuanze kuwapa mikakati mapema mjue wapi waliopo wamekosea ili mtumie nafasi hizo. mambo ya ghafla sio mazuri. Njooni mpime upepo muone mnakubalika vipi sio mnatoka mijini sijui nje ya nchi bila hata kuyajua mzaingira vizuri ati mnaomba kuchaguliwa njooni mapema tena kimya kimya then tuone kama tutawaondoa wezi wa raslimali za nchi hii madarakan hasa CCM.
Kule Kwenye jimbo la Nkenge haijulikani nani ataweza kuipeperusha bendera ya CDM, kuna jamaa mmoja alitaja jina la somebody Malinzi nisijue kama ni Jamal au Dioniz watu wakasema kuwa wale ni ccm damu.
Upande wa Muleba Kaskazini, Kusini, Bukoba vijijini bado wanachadema hawajajua nani atatangaza nia ili maandalizi yaanze mapema na sio kuibuka mwishoni ghafla na kujitoa kama ilivyokuwa kwa Focus kule nkenge.
Kwa Bukoba Mjini wadau wanasema Gratian Mukoba atapambana na Kagasheki na ana Mvuto kuliko Rwakatare Wilfred. Sijui wadau wengine wanalisemaje ili. Walau Mukoba akitajwa walio wengi wanakubali kuliko kumtaja Rwakatare tena.
Kwa hiyo wale wote wenye lengo la kuwaondoa wabunge wa ccm walioko hivi sasa inabidi wawe na long term plan.....mje kwa wadau tuanze kuwapa mikakati mapema mjue wapi waliopo wamekosea ili mtumie nafasi hizo. mambo ya ghafla sio mazuri. Njooni mpime upepo muone mnakubalika vipi sio mnatoka mijini sijui nje ya nchi bila hata kuyajua mzaingira vizuri ati mnaomba kuchaguliwa njooni mapema tena kimya kimya then tuone kama tutawaondoa wezi wa raslimali za nchi hii madarakan hasa CCM.