Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe gamba unaona mmekosea kumteua Warioba kwenye Tume,kwa kuwa maoni yenu mengi,ameyapiga chini?
Miongoni ya maoni yenu yaliyotupwa chini,ni kama vile kutaka serikali 2 badala ya serikali 3.
Kutaka mshindi wa nafasi ya Rais,ashinde kwa simple majority,kwa kuwa mnajua,mtashinda kirahisi,kwa kuwa ni nyinyi wenyewe,mnaojiundia vyama vya 'upinzani' ambavyo ni CCM-B
Mlitaka spika na naibu wake waendelee kuwa wakereketwa wa CCM,ili muendelee kubebwa,kule bungeni?
Sasa mnapaswa mtulie kama mnanyolewa,kwa kuwa maoni yaliyotolewa na Tume ya katiba siyo yake Warioba,bali ni maoni yetu waTZ wote!