Kevoo_keroo
JF-Expert Member
- Aug 18, 2015
- 771
- 163
bado sijaona chama cha upinzani chenye umakini wa kuiongoza nchi, chadema ni wahuni na wanywa viroba tu
Anamwogopa Makonda
Katika dokezo la kipindi cha "Dakika 45" kinachotarajiwa kurushwa siku ya Jumatatu kuanzi saa 3:00 usiku,mzee Warioba anasikika akisema bado wakati haujafika kwa wapinzani kuongoza nchi.
Mtangazaji alimuuliza kama anaona wakati umefika kwa wapinzani kushika madaraka.
Jibu la mzee Warioba lilikuwa ni;
Wakati wa vyama vya upinzani bado na akaongeza kuwa hajaona chama chenye uwezo na kilichojiandaa kwa kila aina kuongoza nchi.
My take;
Mzee Warioba kwa hili hayuko sahihi kabisa na huenda kajibu vile akihofia jamaa wanaeweza kum-kolimba au kumfanyia mizengwe mingine.