Void ab initio
JF-Expert Member
- Mar 1, 2015
- 5,703
- 5,635
Warioba huongea mambo katika uhalisia na ukweli wake,huruhusu akili yake kufikiri sio mshabiki wa kusukumwa na mitizamo ya wenyeviti.
Hivi wewe una akili kweli sijui huko shuleni uwa mnakwenda kusoma ujnga.
Wakipunguza jazba tu na kuendelea na ukali wataweza
Chama kilichokosa falsafa, dira, dhima, maono, utashi, sera zinazotekelezeka, Chama ambacho kimelibabaisha taifa kwa miaka zaidi ya 50, hakiwezi kuachwa kuwa eti kiendelee kuwa madarakani!Chama ambacho hata kwenye uchaguzi huu kinatoa rushwa na kutegemea ushindi wa goli la mkono, hakiwezi kuruhusiwa kuendelea kutawala.Kwa wingi na umoja wetu tukikatae kwenywe sanduku la kura 25/10! Lowasa atosha!
Chama kilichokosa falsafa, dira, dhima, maono, utashi, sera zinazotekelezeka, Chama ambacho kimelibabaisha taifa kwa miaka zaidi ya 50, hakiwezi kuachwa kuwa eti kiendelee kuwa madarakani!Chama ambacho hata kwenye uchaguzi huu kinatoa rushwa na kutegemea ushindi wa goli la mkono, hakiwezi kuruhusiwa kuendelea kutawala.Kwa wingi na umoja wetu tukikatae kwenywe sanduku la kura 25/10! Lowasa atosha!
Chama kilichokosa falsafa, dira, dhima, maono, utashi, sera zinazotekelezeka, Chama ambacho kimelibabaisha taifa kwa miaka zaidi ya 50, hakiwezi kuachwa kuwa eti kiendelee kuwa madarakani!Chama ambacho hata kwenye uchaguzi huu kinatoa rushwa na kutegemea ushindi wa goli la mkono, hakiwezi kuruhusiwa kuendelea kutawala.Kwa wingi na umoja wetu tukikatae kwenywe sanduku la kura 25/10! Lowasa atosha!
Chama kilichokosa falsafa, dira, dhima, maono, utashi, sera zinazotekelezeka, Chama ambacho kimelibabaisha taifa kwa miaka zaidi ya 50, hakiwezi kuachwa kuwa eti kiendelee kuwa madarakani!Chama ambacho hata kwenye uchaguzi huu kinatoa rushwa na kutegemea ushindi wa goli la mkono, hakiwezi kuruhusiwa kuendelea kutawala.Kwa wingi na umoja wetu tukikatae kwenywe sanduku la kura 25/10! Lowasa atosha!
Safari hii katika uchaguzi ndo nimeamini kuwa kweli upinzani tanzania bado sana kuingia ikulu, yani waliuelimisha umma wa Tanzania kuwa kuna fisadi anaitwa Lowassa na wakasema na ushahidi wa hayo wano, lakini leo hii ndiye mgombea urais katika chama chao.
Ni unafiki, usaliti na udhaifu mkubwa, bado sana kupewa dola watu hawa.
Magufuli anaweza , anatosha na atapiga vita ufisadi walioukana upinzani.