Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
katika mkutano wake na wanahabari Warioba amesema sio kweli kuwa wanalipua na kuupeleka puta mchakato huo. Amesema kuwa wanafuata taratibu walizojiwekea na watu wote watafikiwa.
Warioba anasema kila awamu watu wanaotoa maoni na kuhudhuria kwenye mikutano wanaongezeka
Warioba anasema kila awamu watu wanaotoa maoni na kuhudhuria kwenye mikutano wanaongezeka