Warioba asisitiza katiba mpya Tanzania

Angalia namna ulivyo zuzu
Sawa kabisa umekuwa ukiendeshwa na akina TOBO kwa miaka yote hiyo 14 kwa sababu kabla hujaja wewe humu JF, akina TOBO na GAIDI walikuwepo na wakakutumia kuanzia hapo hadi leo bado wanakutumia. Hongera sana kwa kutumika for all those 14 years! Asiye taka kuona hata ukimpa hadubini ya Kirusi inayoona anga za juu hawezi kuona. Wenzako walikuwa hivyo hivyo lakini sasa wanaona na kuzikubali sera za CCM. By the way mjengo wa pale Ufipa unaendeleaje? Mmeshindwa kujenga ofisi, mkipewa li- nchi hili mtaliweza kweli!?
 
Situmiki mpuuzi wewe haya ni mawazo ambayo Mtanzania yoyote yule mwenye mapenzi ya kweli ya Tanzania anatakiwa kuwa nayo. Ningekuwa nataka kutumika basi ningeungana na genge la wahuni wa maccm ili nifukuzie teuzi but I am not that stupid and cheap to betray my own country.

Unachofanya wewe kwa miaka 14 hukioni!? Be independent BAK acha kutumika. It will cost you. Unaoneshwa haya ya sasa na akina Tobo na wewe unayalipukia, acha hizo zita kucost!
 
Uhitaji wa katiba sio ishu ya warioba au chama flani

Hili nimhitaji la watanzania na watanzania hao watahitaji kuijua iliyopo kwanza kabla ya hiyo inayoombwa ili waweze kuchekecha kuona yalipo maslahi yao na sio ya wanasiasa.

Na alichokifanyia kazi warioba miaka ile kinaweza kuwa kimebadilika kwa kupungua au kuongezeka kwa uhitaji kama yalivokua mabadiliko ya kiutawala na kiuchumi katika awamu aliyokusanya maoni na awamu zilizofuata

Acha kazi iendelee
 
Huwa inashangaza sana anayejiita msomi then hajui umuhimu wa katba mpya,mpaka unajiuliza hv haya mazwazwa yamesoma shule gan???au yamelaaniwa???
Acha kabisa Mkuu majuha kama juha huyu ni wengi sana. Na haya ma juha ndiyo mtaji mkubwa wa hawa wahuni wa maccm.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Situmiki mpuuzi wewe haya ni mawazo ambayo Mtanzania yoyote yule mwenye mapenzi ya kweli ya Tanzania anatakiwa kuwa nayo. Ningekuwa nataka kutumika basi ningeungana na genge la wahuni wa maccm ili nifukuzie teuzi but I am not that stupid and cheap to betray my own country.
Kila mtu ana haki ya kuchagua apendacho, wewe umechagua kuwa upande wa MAGAIDI NA WAUAJI, well and good! Nikupinge au nipingane na uamuzi wako ili iweje. Matusi siyo part and parcel ya msamiati wangu, najitahidi kujibu VIHOJA bila matusi.
 

Kila mtu ana haki ya kuchagua apendacho, wewe umechagua kuwa upande wa MAGAIDI NA WAUAJI, well and good! Nikupinge au nipingane na uamuzi wako ili iweje. Matusi siyo part and parcel ya msamiati wangu, najitahidi kujibu VIHOJA bila matusi.
 
Watanzania wengi kama sio wengi sana, wote tunajua shinikizo la uhitaji wa Katiba Mpya ni KUTOKA KWA VIONGOZI WA UPINZANI! Kwa nini wanatoa shinikizo hilo la kutaka Katiba Mpya!? Jibu ni rahisi sana, viongozi hao wanadhani kuwa KUSHINDWA KWAO kwenye chaguzi mbalimbali au chaguzi zote ni kwa sababu ya hii Katiba ya SASA! Wadhani ikipatikana Katiba Mpya WATATOBOA! Thubutu! Hayo ndiyo mawazo yao, halafu sababu nyingine, ni kuwa wanataka POSHO! Walishaonja ASALI SASA WANATAKA KUCHONGA MBUYU! Hawa, wengi wao walishiriki kwenye MCHAKATO, WAKALA ILE MIPOSHO, sasa wanaitaka hiyo miposho tena! Kwa sababu shinikizo lao hili likikubaliwa, "watadai liitishwe Bunge la Katiba ili kurekebisha mambo fulani fulani eti kwa kisingizio ni muda mrefu umepita tangu Bunge lile liipitishe ile Katiba Pendekezwa kwa ajili ya Kura ya Maoni". Hii ndiyo hatua ya pili watakayo kuja nayo IKIWA SERIKALI YA AWAMU YA SITA ITAINGIA MKENGE HUU! Iam just thinkinig ALOUD. Subirini muone!

Kwa nini unaita “MKENGE”? Kipi cha kuitisha serikali ya awamu ya sita katika suala la katiba mpya? Kama ni posho, serikali ndio inayoamua. Sidhani kama ni vizuri kuifanya serikali kuonekana weak/nyonge kwenye suala hili.
 

Kila mtu ana haki ya kuchagua apendacho, wewe umechagua kuwa upande wa MAGAIDI NA WAUAJI, well and good! Nikupinge au nipingane na uamuzi wako ili iweje. Matusi siyo part and parcel ya msamiati wangu, najitahidi kujibu VIHOJA bila matusi.
 
Mwingine anayetumika huyu hapa.

Kila mtu ana haki ya kuchagua apendacho, wewe umechagua kuwa upande wa MAGAIDI NA WAUAJI, well and good! Nikupinge au nipingane na uamuzi wako ili iweje. Matusi siyo part and parcel ya msamiati wangu, najitahidi kujibu VIHOJA bila matusi.
 
Kwa nini unaita “MKENGE”? Kipi cha kuitisha serikali ya awamu ya sita katika suala la katiba mpya? Kama ni posho, serikali ndio inayoamua. Sidhani kama ni vizuri kuifanya serikali kuonekana weak/nyonge kwenye suala hili.
Nasema MKENGE kwa maana ya kudanganywa, halafu, Serikali iogope nini na kwa nani?
 
Nasema MKENGE kwa maana ya kudanganywa, halafu, Serikali iogope nini na kwa nani?

Serikali makini haiwezi kudanganywa na ikadanganyika kirahisi hivyo. Maandishi yako yanaipa tahadhari serikali. Tahadhari hutolewa kwa jambo la hatari linalopaswa kuepukwa. Ndio uoga wenyewe huo.
 

Warioba asisitiza katiba mpya Tanzania​

WARIOBA ASISITIZA KATIBA MPYA TANZANIA | 13.07.2021​

57421551_101.jpg


Vuguvugu la kutaka mabadiliko ya katiba mpya Tanzania bado liko juu na safari hii, waziri mkuu mstaafu na aliyekuwa mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba, Jaji Joseph Warioba ametoa himizo hilo.​

Nchini Tanzania vuguvugu la kutaka mabadiliko ya katiba mpya bado liko juu na safari hii, waziri mkuu mstaafu na aliyekuwa mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba, Jaji Joseph Warioba amejitokeza na kusisitiza haja ya kuwa na maridhiano yatayosaidia kupatikana kwa katiba mpya.

Hayo yanajiri wakati Rais Samia Suluhu Hassan akisisitiza kuwa ingawa utawala wake unatambua jambo hilo lakini unatoa kwanza kipaumbele katika kukuza uchumi. Hoja ya Warioba aliyeitoa katika mahojiano na kituo kimoja cha televisheni cha jijini Dar es Salaam huenda ikachangiza madai yanayoendelea kuibuliwa na wanasiasa hasa wa upinzani wanashinikiza katiba mpya.

Medani ya siasa imechukua nafasi kubwa katika himizo la katiba mpya.

55471061_101.jpg


Kiongozi wa upinzani wa Tanzania, Freeman Mbowe
Wanasiasa hao kwa nyakati tofauti wamekuwa wazitolea mwito mamlaka za serikali kufufua mchakato wa katiba hiyo mpya uliokwama tangu mwaka 2014 baada ya kufika katika bunge maalumu la katiba.

Jaji Warioba katika mahojiano hayo ingawa hakubainisha msimamo wa moja kwa moja kuhusu takwa la katiba hiyo mpya, lakini ameashiria haja ya kuendelea na mchakato huo na amewashauri wanasiasa kuwa tayari kukutana na Rais Samia ili kuanzisha majadiliano yatayofungua njia ya kumaliza mkwamo huo.

Licha ya katiba kutajwa ni hitaji la kitaifa linapaswa kuwashirikisha wananchi wa kona zote, hata wanasiasa ndio wanaonekana kulivalia njuga zaidi jambo hilo na madai yao makubwa yanaangukia juu ya kutaka tume huru ya uchaguzi, mshindi wa urais awe ni yule anayepata zaidi ya asilimia 50 ya kura na matokeo ya uchaguzi wa urais kuhojiwa mahakamani.

Fikra ya kugawika wanasiasa kimtazamo Tanzania.

Kwa upande mwingine, hatua ya Jaji Warioba kutaka wanasiasa kuwa tayari kuanzisha majadiliano na Rais Samia kuhusu hoja zao hizo, baadhi ya wanasiasa na wachambuzi wamegawika katika kulijadili jambo hili. Mathalani, mwanasiasa na mchambuzi wa mambo, Sammy Ruhuza amesema anaepinga suala la katiba mpya anajiweka mbali na wananchi.

Wanasiasa wa upinzani wanadai kuwa katiba ya sasa iliyondikwa mwaka 1977 na baadaye kufanyiwa mabadiliko kadhaa ikiwemo ya mwaka 1992 kuruhusu mfumo wa vyama vingi inatoa upendelea kwa chama tawala CCM.

Chama hicho tawala ingawa katika ilani yake ya uchaguzi ya mwaka 2015 -2020 iliweka kipengele cha kuendelea na mchakato wa katiba na baadaye kipengele hicho kuondolewa kwenye ilani iliyofuata kimekuwa kikisitiza kuwa katiba ya sasa ni bora na inapendekeza kuendelea nayo.
Tangu Mbowe ametekwa na wahuni wa Sirro, hatusikii tena makongamano ya Katiba Mpya, tatizo nini ?
 

Warioba asisitiza katiba mpya Tanzania​

WARIOBA ASISITIZA KATIBA MPYA TANZANIA | 13.07.2021​

57421551_101.jpg


Vuguvugu la kutaka mabadiliko ya katiba mpya Tanzania bado liko juu na safari hii, waziri mkuu mstaafu na aliyekuwa mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba, Jaji Joseph Warioba ametoa himizo hilo.​

Nchini Tanzania vuguvugu la kutaka mabadiliko ya katiba mpya bado liko juu na safari hii, waziri mkuu mstaafu na aliyekuwa mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba, Jaji Joseph Warioba amejitokeza na kusisitiza haja ya kuwa na maridhiano yatayosaidia kupatikana kwa katiba mpya.

Hayo yanajiri wakati Rais Samia Suluhu Hassan akisisitiza kuwa ingawa utawala wake unatambua jambo hilo lakini unatoa kwanza kipaumbele katika kukuza uchumi. Hoja ya Warioba aliyeitoa katika mahojiano na kituo kimoja cha televisheni cha jijini Dar es Salaam huenda ikachangiza madai yanayoendelea kuibuliwa na wanasiasa hasa wa upinzani wanashinikiza katiba mpya.

Medani ya siasa imechukua nafasi kubwa katika himizo la katiba mpya.

55471061_101.jpg


Kiongozi wa upinzani wa Tanzania, Freeman Mbowe
Wanasiasa hao kwa nyakati tofauti wamekuwa wazitolea mwito mamlaka za serikali kufufua mchakato wa katiba hiyo mpya uliokwama tangu mwaka 2014 baada ya kufika katika bunge maalumu la katiba.

Jaji Warioba katika mahojiano hayo ingawa hakubainisha msimamo wa moja kwa moja kuhusu takwa la katiba hiyo mpya, lakini ameashiria haja ya kuendelea na mchakato huo na amewashauri wanasiasa kuwa tayari kukutana na Rais Samia ili kuanzisha majadiliano yatayofungua njia ya kumaliza mkwamo huo.

Licha ya katiba kutajwa ni hitaji la kitaifa linapaswa kuwashirikisha wananchi wa kona zote, hata wanasiasa ndio wanaonekana kulivalia njuga zaidi jambo hilo na madai yao makubwa yanaangukia juu ya kutaka tume huru ya uchaguzi, mshindi wa urais awe ni yule anayepata zaidi ya asilimia 50 ya kura na matokeo ya uchaguzi wa urais kuhojiwa mahakamani.

Fikra ya kugawika wanasiasa kimtazamo Tanzania.

Kwa upande mwingine, hatua ya Jaji Warioba kutaka wanasiasa kuwa tayari kuanzisha majadiliano na Rais Samia kuhusu hoja zao hizo, baadhi ya wanasiasa na wachambuzi wamegawika katika kulijadili jambo hili. Mathalani, mwanasiasa na mchambuzi wa mambo, Sammy Ruhuza amesema anaepinga suala la katiba mpya anajiweka mbali na wananchi.

Wanasiasa wa upinzani wanadai kuwa katiba ya sasa iliyondikwa mwaka 1977 na baadaye kufanyiwa mabadiliko kadhaa ikiwemo ya mwaka 1992 kuruhusu mfumo wa vyama vingi inatoa upendelea kwa chama tawala CCM.

Chama hicho tawala ingawa katika ilani yake ya uchaguzi ya mwaka 2015 -2020 iliweka kipengele cha kuendelea na mchakato wa katiba na baadaye kipengele hicho kuondolewa kwenye ilani iliyofuata kimekuwa kikisitiza kuwa katiba ya sasa ni bora na inapendekeza kuendelea nayo.

Ninakazia

Kuna mijamaa ikisikia katiba mpya, chadema, Mbowe, na vya namna hiyo - inapatwa kihoro cha kufa mtu.

Shuhudia inavyotokwa povu mithili ya kuwa imebwia Omo.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom