Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,322
- 5,542
Angalia namna ulivyo zuzu
Sawa kabisa umekuwa ukiendeshwa na akina TOBO kwa miaka yote hiyo 14 kwa sababu kabla hujaja wewe humu JF, akina TOBO na GAIDI walikuwepo na wakakutumia kuanzia hapo hadi leo bado wanakutumia. Hongera sana kwa kutumika for all those 14 years! Asiye taka kuona hata ukimpa hadubini ya Kirusi inayoona anga za juu hawezi kuona. Wenzako walikuwa hivyo hivyo lakini sasa wanaona na kuzikubali sera za CCM. By the way mjengo wa pale Ufipa unaendeleaje? Mmeshindwa kujenga ofisi, mkipewa li- nchi hili mtaliweza kweli!?