mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Muonekano wa kutoka kujipara salon? kama kuwivu,kusuka au lace wig na ma-tong? Na vipi kuhusu kope na kucha?
Au muonekano wa pamba za kufa mtu kutoka mamtoni na shoping plaza za Bongo? Je utakuwa kwenye crazy wear
au kwenye vazi la heshima?. Au utalipuka na vitu vya sehemu zote 2? i mean salon na dukani? Au utakuwa wa kawaida
tu kama unavyoonekana kila siku?.....UZURI NI WA KUZALIWA NAO na UREMBO NI KUJIPAMBA from shop na salon ili
uonekane tofauti na kuwa mzuri zaidi......MARY CHRITSMAS and HAPPY NEW YEAR
Au muonekano wa pamba za kufa mtu kutoka mamtoni na shoping plaza za Bongo? Je utakuwa kwenye crazy wear
au kwenye vazi la heshima?. Au utalipuka na vitu vya sehemu zote 2? i mean salon na dukani? Au utakuwa wa kawaida
tu kama unavyoonekana kila siku?.....UZURI NI WA KUZALIWA NAO na UREMBO NI KUJIPAMBA from shop na salon ili
uonekane tofauti na kuwa mzuri zaidi......MARY CHRITSMAS and HAPPY NEW YEAR