Ikiwa ugumu wa moyo wa Farao, .... uliliangamiza taifa.
Tanzania haipo mbali.
Hofu imejaa hata 'mtukufu' akivaa vibaya tunaogopa kusema.
Swali: Je nani aongoze upatanisho (Magufuli, Mbowe, Lipumba, viongozi wa dini, Polisi ....)??
Ee Mungu uturehemu na watesi.
Tanzania haipo mbali.
Hofu imejaa hata 'mtukufu' akivaa vibaya tunaogopa kusema.
Swali: Je nani aongoze upatanisho (Magufuli, Mbowe, Lipumba, viongozi wa dini, Polisi ....)??
Ee Mungu uturehemu na watesi.