Waraka wangu kwa chuo kikuu cha dodoma na bodi ya uhasibu nbaaa

sterling

Senior Member
Aug 6, 2011
159
29
[h=6]imekuwa ni kipindi kirefu swala la UDOM kujiunga na kuwa accredited na NBAA likufuatiliwa lakini kila wakati tunapewa ahadi hewa zisizotimilika..
sasa najiuliza kuwa je ni chuo ndio wazembe?
je kuna mkono wa mtu?
je ni kwamba bodi ya wahasibu haitaki kuwakubalia UDOM kutokana na siasa zake?
je ni kwa kuwa kiwango cha elimu kinachotolewa ni cha chini mno kulinganisha na vyuo vingine?
Je ni uzembe wa walimu na viongozi wa UDOM kufuatilia hili swala?
Je hili si tusi kwa chuo kikubwa (kama wanavyokiita) kushindwa kuwa recognized na proffessional bodies?

kwa kweli ninajiuliza maswali mengi lakini sipati jibu lolote la maana, kihalisi hapa panaonekana kuna kitu kinafichwa either na chuo or bodi ya uhasibu,,,,, lakini pia kwa kawaida ya ufuatiliaji wa maswala ya wanafunzi katika chuo kikubwa cha dodoma ni wa kutiliwa mashaka,,, hii inadhihirishwa na mambo mengi yaliowahi kutokea hapo nyuma.. je chuo kinachukuliaje hili swala la wanafunzi wake kutokupata nafasi ya kusoma CPA? au ndio uliokuwa mpango wao kutudahili ili wajipatie mahal pa kulia na kufisadi pesa zetu... mfano mzuri ni sh 20,000 za majoho walizotapeliwa wenzangu na mimi kwa visingizio kuwa hamwezi kupanga foleni kwa hiyo ili tusiwapotezee muda rudini tutawawekea pesa kupitia akaunt zenu kwa kuwa tuna mfumo mzuri wa kibenki wa kufanya malipo kwa wadaiwa wetu, huu mfumo alitengeneza mfanyakazi wa Bill Gates (nashukuru yangu hamkuipata maana nilisusia graduation)

mimi ninashangaa maana kila siku wanajitamba mpaka kwenye vyombo vya habari kuwa ni ilani yao kujenga chuo hiki kikubwa, kinachoniumiza ni kuwa naona kama ni mpango mahususi wa baadhi ya watu kujinufaisha maana hawajali elimu wala wanafunzi wanowadahili,,,,,,, hili liwafikie Kikwete na wasaidizi wake kuwa katika hili tunaona uhuni na haiendani na sifa lukuki wanazojitamaba nazo

kwa hakika kuna kizungumkuti hapa na tunaomba mtupe majibu ya kueleweka maana sisi ni watu wazima na hiyo ni futute kwa baadhi yetu... najua mnasikia na mtaisoma hii ila ninasema maana nikikaa kimya basi historia itanihukumu......[/h]
 
UDOM yenyewe baadhi ya lecturer wake wanauza marks pindi tu mnunuapo hand out zao unategemea utapata nini hapo kama sio vilaza, mwanafunzi ananunua marks? Hapa UDOM mnachemka management imelala
 
Umenikumbusha wizi unaofanywa na Prof Mlacha na kundi lake yaani ni wezi na hawana roho ya ubinadamu kwa watoto maskini wa Tanzania mfano tizama tuliohudhuria graduation 2011 Nov tulikua zaidi ya 5000 wakasema wangetuingizia hela yetu elfu 20 pindi turudishapo majoho lakn mpaka lep hela yetu hatujapewa kwa kweli kuna tatizo ndani UDOM ambalo either lipo planned na viongozi hawa wa serikali,Udini mwingi ndio unaopelekea yote haya
 
Kwa udini hiki chuo kinaongoza kuliko chuo chochote cha serikali humu nchinii. Kama sio wa upande ule ujue imekula kwako! Na hii ni kuanzia utawala, waalimu mpaka kwa wanafunzi! Ni mbegu mbaya sana imepandwa hapa.
 
Kwa udini hiki chuo kinaongoza kuliko chuo chochote cha serikali humu nchinii. Kama sio wa upande ule ujue imekula kwako! Na hii ni kuanzia utawala, waalimu mpaka kwa wanafunzi! Ni mbegu mbaya sana imepandwa hapa.

Hakika hilo lipo lakn nakumbuka kuna uchaguzi wa Viongozi wa Wanafunzi ulifanyika mwaka jana tuliwakomesha kweli hawa wenzetu yaani hata ambao hawakua na mpango wa kupiga walipiga kura yaliyowakuta wanajuta mpaka sasa
 
UDOM yenyewe baadhi ya lecturer wake wanauza marks pindi tu mnunuapo hand out zao unategemea utapata nini hapo kama sio vilaza, mwanafunzi ananunua marks? Hapa UDOM mnachemka management imelala

Nitajie jina nideal nae pumbafu mkubwa.
 
Nitajie jina nideal nae pumbafu mkubwa.

Acha mbwembwe kama uko sriaz deal na mtu mmoja anaitwa Ndebalema yupo Education hapo na utupe feedback ukitaka ntatajia wengine ambao wanagonga dada zetu then wanawapa UE
 
Acha mbwembwe kama uko sriaz deal na mtu mmoja anaitwa Ndebalema yupo Education hapo na utupe feedback ukitaka ntatajia wengine ambao wanagonga dada zetu then wanawapa UE

Hizi ni serious allegations zisizohitaji mzaha. Kama ni kweli weka data hapa
 
Hakika hilo lipo lakn nakumbuka kuna uchaguzi wa Viongozi wa Wanafunzi ulifanyika mwaka jana tuliwakomesha kweli hawa wenzetu yaani hata ambao hawakua na mpango wa kupiga walipiga kura yaliyowakuta wanajuta mpaka sasa

na tuliwakomesha kiukweli hadi zile nyimbo zikahanikiza anga la udom usiku baada ya matokeo kutoka.
 
Acha mbwembwe kama uko sriaz deal na mtu mmoja anaitwa Ndebalema yupo Education hapo na utupe feedback ukitaka ntatajia wengine ambao wanagonga dada zetu then wanawapa UE

mbona husemi wakuu wa idara na skuli wanaowasaidia msidisco ama mpate gredi za juu ama ku-supp? udom ni kuanzia pale juu hadi kwa wakuu wa idara kwa marks hawajambo kuzitoa wanawanusru wavvu na wanaowfhmu kwa max
 
Umenikumbusha wizi unaofanywa na Prof Mlacha na kundi lake yaani ni wezi na hawana roho ya ubinadamu kwa watoto maskini wa Tanzania mfano tizama tuliohudhuria graduation 2011 Nov tulikua zaidi ya 5000 wakasema wangetuingizia hela yetu elfu 20 pindi turudishapo majoho lakn mpaka lep hela yetu hatujapewa kwa kweli kuna tatizo ndani UDOM ambalo either lipo planned na viongozi hawa wa serikali,Udini mwingi ndio unaopelekea yote haya

wewe unazungumza nov 2011 waulize waliomaliza nov 2010 hawajapewa nao. Utaratibu wakifedha haujakamilika mtalipwa tu maana chuo hiki kinafuata sana utaratibu wakisheria kisijekosea mkawacheka.
 
Udom ni chuo cha kata kama zilivo zile shule za kata,,, na kilanzishwa ili kichukue vilaza wa kta..
 
Back
Top Bottom