- Thread starter
- #21
Alonikimbiza ni Mwinyi na RUKSA, visa bwelele kila nchi..Really ............. Siyo huo Ujamaa ndiyo uliokukimbiza Tanzania!!?
Alonikimbiza ni Mwinyi na RUKSA, visa bwelele kila nchi..Really ............. Siyo huo Ujamaa ndiyo uliokukimbiza Tanzania!!?
Mkuu inaonesha umepata nondo kutoka kwa Dr. Slaa .Mkuu nimejifunza zaidi Ujamaa huku baada ya kujiunga na NDP, Nimeshiriki sana katika kampeni zao niki volunteer kumpitisha mbunge wetu wa Jimbo la Spadina mama Olivia Chow toka mwaka 2000, hivyo nachoweza kusema imani yangu katika Ujamaa haina mahala wala nchi bali nitaendelea kuitetea mahala popote..
Kumbe anazungumza akiwa Canada?Mkandara si urudi huku ufanye hizo siasa za Ujamaa na Kujitegemea. Canada unafanya nini?
Mkuu nimejifunza zaidi Ujamaa huku baada ya kujiunga na NDP, Nimeshiriki sana katika kampeni zao niki volunteer kumpitisha mbunge wetu wa Jimbo la Spadina mama Olivia Chow toka mwaka 2000, hivyo nachoweza kusema imani yangu katika Ujamaa haina mahala wala nchi bali nitaendelea kuitetea mahala popote..