Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mr fazaa ni kweli inasemekana uislamu ni fastest growing religion lakin kuna vitu viwili njia ya uzima na njia ya mauti kukubali Kristo au kumpinga Kristo ukiwa kwa muhhamad we ni mpinga kristo tu,
ukuaji wa uislam ni kero kama ukuaji wa maovu mengine kwa sasa kuna 1 bn moslem around the world je wakiongezeka itakuwaje, kuongezeka kwa waumini si jambo la kujisifia hata free mason wanaongezeka wauaji wanaongezeka waongo wanaongezeka n.k .
ukisema Yesu si mungu wewe hujui kusoma biblia and bible is spiritual not like quran ukitafuta statement moja inayosema Yesu ni Mungu utakuwa hujui kuwa Yesu alitumia more parable in his sermon.
makundi mengi ya kigaidi ni ya kiislam more than 90% in the world.
very chaotic religion in the world.
i pray that islam banish in dar es salaam and any part in our country.
majani mababu wa mababu wa mababu wa mababu wa mababu yangu walikua wanaabudu milima,mvua na kadhalika. kulikuwa na wengine wakiabudu mito au jua lakini wote waliishi kwa amani pamoja na tofauti za uabuduji.Wewe ulikua unabudu nini kwanza
Kuishi tulishi kama ndugu
nijuavyo mimi dini haitamfanya mtu airithi mbingu, kwani Mungu alishasema dini safi ni hii kutazama wagonjwa kusaidia yatima na wajane na kujitenga na ya dunia usitende dhambi. so uwe mwislam ama mkristo mtaishia tu kuekeana chuki pasi sababu za msingi.
Sisi hatutaki chochote
tunachotaka zanzibar huru na muungano hatuutakiiiiiiiiiiiii hapo tena
fitna zote Zitaisha
Assalaam a'laikum
,Jamani waislaam wenzangu wote tutulie hatakamaa tunachokozwa tuwaachie
Allah {SWT}hakika yeye ndomwenyekuhukum kwani hawa makafiri chokochoko
nauchokozi hawajauanza leo kwani hata enzi za nabiiMuhammad {S.A.W}Mpaka
kumfukuza Makka na kwenda Madina na pia tujaribu kuwavumilia kwani hata
mtume Muhammad (S.A.W) wakati ikijibizana nao hawa hawa makafiri
Mwenyezi Mungu{S.W.T}alimteremshia aya na kumwambia:wambie enyi makafiri
siabudu mnachokiabudu,walanyinyi hamuabudu ninayemuabudu,wala sitaabudu
mnachoabudu,wala nyinyi hamtaabudu ninaye muabudu,ninyi MNADINI YENU na
mimi NINIDINI YANGU. Hivyo nawaasa tu waislaam wenzangu kuawenye subira
na nyinyi WACRISTO acheni uchokozi na kudharau dini za wenzenu pia
unapomfundisha mwanao mazuri ya dini yako, usimfundishe ubaya wa UISLAAM
kwani utamfanya awe nimwenye kuchukia UISLAAM,vitabu vya kiISLAAM na
WAISLAAM wenyewe kitu kinachoweza kuhutarisha amani yetu adim tuliyonayo
Tanzania ~KAGOMA BIHUSI.