fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,026
Bahari gani wewe nalo deki mtaishia kukwepa ukweli, walio andika bible wanasema Jesus sio Mungu, afu ukweli wakristo wengi mpaa mda huu hamjui nani Mungu wenu....Sa Mungu wenu ni nani....Jesus au baba yake? na vipi yule mwingine roho mtakatifu tumuweke wapi...afu kuna news mpya tunazisikia Jesus aliowa ni kweli :biggrin:naona umeamua kudeki bahari! kazana ila chunga siku ya kiama isikukute bado wadeki. TUDUMISHE UPENDO NA AMANI!