Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo sifa ni mifumo tu ya Kibabiloni na kikoloni ambayo haina manufaa kwa jamii zaidi ya ubinafsi na ufahari tu wa familia zao.Hakuna kigezo cha ukanda , ukabila wala udini.
Vigezo viwe kwenye sifa (merits) za muombaji kama elimu, uzoefu, uadilifu, uchapakazi, n.k.
Faru...Shura ya Maimamu hawatambuliki nchini, ni BAKWATA tu
Okw...namuona Mohamed Said katikati ya mistari ya huu waraka
Wanachotaka hawa Maimamu ni usawa katika kugawana keki ya taifa.
Usawa kwa kila kitu kwa raia wote.
Hoja yao siyo dini fulani tu washikie fursa zaidi ya waumini wa dini zingine au wasiokuwa na dini.
Sijui wewe umewaelewaje? labda unifafanulie walikuwa wanakusudia kusema nini hapo kwenye teuzi.
Nchi ipo shwari kabisa mnataka kuitikisa. Tuacheni kwanza
Okw...
Hakika mtindo ni staili yangu kabisa wengi wanadhani hivyo lakini miaka 30 ya kuwasemea Waislam inazaa matunda.
Siwezi kuchukua sifa isiyokuwa yangu.
Wa bakwata wapenda ubwabwa wakiongozwa na yule shehe wa mkoa wa Bashite hawawezi kutoa tamko la namna hii. Wao wanasubiri siku ya kuapishwa tu Dom wakale wapige na picha full stopWaeanza kujitambua itakuwa sio bakwata.
Jisemee Wewe tafadhali, na usifanye Waislam waonekane hawawezi kung’amua.Hao hawatusemei waislamu wote.....hao Wala hawatambuliki KISHERIA kutusemea.
Muislam Mimi SIYATAKI HAYO WAYASEMAYO.
Muislam mimi na wenzangu tulio wengi tunataka kuiona tume HIIHII iendelee kwani iko KISHERIA na haina dosari zozote.......
Waislam tunasemewa na BARAZA letu kuu BAKWATA.
WENGINE WANAKUWAGA WALE WACHOCHEZI WACHACHE.
Gagnija,Uwiano wa wahitimu elimu ya juu vyuoni kwa dini hizo uko vipi?
Mzee nyie ndio mnatakiwa kupotezwaTiti...
Tutafanyaje inapokuwa waumini wa dini moja tu ndiyo wanakuwa na sifa za elimu, uxoefu, uadilifu, uchapakazi nk. kwa hiyo ndiyo wanaoongoza serikali na wengine wako nje?
Katika hali kama hii tunafanyaje?
Madu...Mzee nyie ndio mnatakiwa kupotezwa
Umejaa chuki na udini,Mna propaganda za kutaka vita
Na mtashughulikiwa kwa mujibu wa sheria za nchi
You are not so safe,Watch your family first
Hii nchi asilimia 90 hawana dini wala vyama..
Luriga,Huyu si PONDA karudi kwa mlango wa nyuma kweli. Wakumbuke huu upuuzi wa udini uliwa-cost sana miaka 1998/1999 kama sijakosea mwaka. Kwenye suala la watumishi wa UDOM kuondolewa kwenye nafasi zao naona hapa huyu mwandishi anataka kutuaminisha kwamba walitolewa kwenye hizo nafasi zao kwa sababu za kidini. Huo ni uzushi maana inavyooneka hata huyu mwandishi hana uhakika na anachokisema zaidi ya majungu tu hana ushahidi wowote. Pili watu hawaajiriwi kwa sababu ya dini yao hakuna mwongozo kama huo hayo madai ni kutojiamini kwao tu.
Tanzania kama Taifa hakuna mtu yoyote anabaguliwa kupata huduma za jamii kwa misingi ya kidini. Raia wote tunapata haki sawa bila kujali tofauti zetu zozote zile maana wote tunachangia kwenye pato la taifa.
WATU WASITUMIE MAJUKWAA KAMA HAYA YA SHURA YA MAIMAMU KWA AJILI YA MASLAHI NA MATAKWA YAO BINAFSI. TENA AMINI NAWAAMBIA HAKUNA KITU KIBAYA KUENDEKEZA UDINI NA UKABILA NI MAJANGA.
Hunijui...uko mwanzoni wameenda vizuri sana ila waliponza kuongelea mambo ya udini ndo nikajua hawa jamaa ni wapumbavu sana, wanafikiri juu ya uislam na ukristo tu, je vipi wale wasiokua na dini?? je vipi juu wale wasioamini juu ya mungu?? wao hawastahili hayo yote??? Hizi dini zinajaza watu upumbavu mwingi sana kichwani, badala ya kuangalia mambo ya msingi we unaangalia eti waslam/wakristo wangap wameteuliwa..Dini nyingine wasemaje???