alberaps
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,568
- 1,002
Mkuu OKW BOBAN SUNZU,
Mimi nipo Makao ya CHADEMA. Taarifa zote za vikao vya ndani ya CCM kuanzia vikao vya Sekretarieti, CC, NEC hadi Mkutano Mkuu huwa tunaletewa na baadhi yao wenye nia njema na Taifa letu. Na kuna kipindi walikuwa wanatuletea hadi Muhtasari wa Kikao, ajenda na copy of signed list of attendance. Yani ukiwa CHADEMA Makao Makuu ni kama upo Makao Makuu ya CCM. Siri zao zote tunazipata.
Mkuu Tumbiri
Unatuwekea Mazingira magumu ya jinsi ya kunyofoa taarifa Sasa hivi tutaanza kuogopa kwa kuwa macho yataanza kuwa mengi!