Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,889
- 32,289
Idiotism thinking.
Ni bora ya mjinga mwenye adabu kuliko mjinga mwenye daharau..
Idiotism thinking.
Mjinga mwenye adabu ni mpumbavu au zezeta.Ni bora ya mjinga mwenye adabu kuliko mjinga mwenye daharau..
Duh jamaa yangu wewe ni sehemu ya kushindwa kwa CCM km huwezi elewa logic hapa.Kama kaupata Slaa umekuwaje waraka wa siri?
Kwani chama kuwa na mawasiliano na wanachama au viongozi wao kuwa chama chao kinapigania katiba mpya iwe na hiki au kile ni siri?
Kweli huyu dokta hana mshiko.
mzee kweli ni mnafiki , chekeleeni2 kauli zake na uzushi wake ipo cku nchi hii itakuwa damu.
Iwe damu mara ya ngapi? huoni mama na dada zetu wanaokufa kwa kukosa huduma wakati waa kujfungua? huoni wanaokufa njaa?? huoni wanaouawa na polisi-refer Arusha na songea, huoni watoto chini ya 5 years wanakufa kwa kukosa tiba?? huoni ajali zilizokithiri kila mahali? Au unataka mpaka iwe mauaji ya kimbali kama Rwanda au igeuke somalia ndio ujue watu wanakufa??mzee kweli ni mnafiki , chekeleeni2 kauli zake na uzushi wake ipo cku nchi hii itakuwa damu.
sio dogo kubwa sana nalo ni MAGAMBA yaliyogoma kuvuliwa!!Naona kuna tatizo hapa.
Mjinga ni mjinga tu maana hakuna analojua awe na adabu asiwe na adabu he/she remains stupid!!Ni bora ya mjinga mwenye adabu kuliko mjinga mwenye daharau..
Ni bora ya mjinga mwenye adabu kuliko mjinga mwenye daharau..
hawezi kwenda huyo,ndio wale wale magamba,we huoni jina limekaa kigambagamba khaaa
Kwani CHADEMA mna uchungu na nchi hii? kama mnao, mmeshafanya kitu gani kwa ajili ya kulinusuru hili taifa toka lindi la umaskini?.
"Wasiosoma ni chakula cha wasomi".
Mbona hueleweki mkuu? Hiyo nukuu yako haieleweki. Unamaanisha kuwa cdm ni wasomi wanaokula wasiosoma? Au unahalalisha ujinga wa viongoz wetu wa kujifanya wamesoma kwa ajili ya kuwala watz? Km ndivyo tumewas2kia