Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,798
- 156,935
Kama hataki kusikia ukweli akufweBwashee unamtafuta maneno Istanbul
Kama hataki kusikia ukweli akufweBwashee unamtafuta maneno Istanbul
Alipokua wazili alisaidiaje huko bukoba?Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wazalendo wote nchini na Duniani kwa Ujumla
Nimeambatanisha Waraka Kutoka kwa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu uduni wa Maendeleo kwa Mkoa wa Kagera
View attachment 2082264
View attachment 2082267
View attachment 2082268
View attachment 2082269
Nyie mmewekeza wapi? Mambo mengine nilawama tu kwa serikali. Mwenyeweshule zake na uwekezaji wake kaweka Dsm analaumu... Siasa hatari sanaNawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wazalendo wote nchini na Duniani kwa Ujumla
Nimeambatanisha Waraka Kutoka kwa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu uduni wa Maendeleo kwa Mkoa wa Kagera
View attachment 2082264
View attachment 2082267
View attachment 2082268
View attachment 2082269
Mama Mboga ( Tibaijuka) na wenzako wengi mmewekeza Dar. sasa hilo pato la wananchi wa kwenu per capita litakua vipi? Wenzenu Wachaga wanawekeza kwao baada ya kuchuma wewe na kaka zako mmejimilikisha ardhi na kuwekeza Changanyikeni ; hivyo kupaisha pato la Bandari ya Salama!Wahaya hamrudi makwenu baada ya kufika town haswa Dar
MamaTiba hana shule MwanzaMbona yeye hata shule zake amewekeza Mwanza,badala ya Bukoba.
Huyu mama amepagawa baada ya kuona bibi kizee mwenzake Muramura amepewa ulaji wakati yeye akisahaulika ingawa naye alikuwa huko UN-HABITAT.
Huo ndio ukweli,hakuna lingine wala nini?
Yeye si anakula za Museveni kidogo kidogo, shida yake nini?
Bado za mboga kutoka kwa Rugemalira!
Bado malori semi trailers zinapishana barabarani zikisomba cement,kwa mgongo wa Texas!
Kweli mama ana tamaa ya FISI.
Kiongozi akiwa nje ya baraza ,kumbukumbu huwa inarudi katika uchambuzi na tathimini ya viashiria vya ukuaji wa uchumi na maendeleo ya mwananchi.Tibaijuka Yeye amekua Waziri katika Serikali, mbona hatujawai kusikia anawasemea wana kagera, amekuwa mbunge miaka 10, hatukuwai kuona hata akisemea zao kuu la biashara kahawa, wakati Nchi jirani Uganda kahawa ni bei ni zaidi ya mala 3, mpaka kagera tunatamani kuuza Uganda.Tibaijuka alichokifanya alipopata ubunge na uwaziri ni kujimilikisha aridhi tu,akuna alichosaidia chochote, Sasahivi eti anapiga kelele.
Kuna maneno Jiji Mwanza kuwa zile Musabe school zilizojengwa pale Buhongwa kua Mama T anamkono pale.Mama hana shule Mwanza
Wachagga wajipange. Iringa tunakuja kwa kasi ya jetWahaya wameachwa mbali sana na wachagga!
Ya kwanza ilikuwa kifo cha BCU. Hiki chama cha ushirika kilisomesha watu wengi. BCU ilileta benki, ilifundisha wakulima na kuwekeza Kagera. Ilipokuja WERECU iliyoundwa na Serikali, mali zote zilitudi serikalini na watu wakaachwa hoi. Pili ni ile sera ya "even distribution of development". Hii iliwakwamisha sana, kwani hata kwenye ufaulu wa kwenda vyuoni, Wahaya wliachwa wakachukuliwa Wamang'ati na wengineo. Sera hii iliacha raslimal zikapelekwa kwa wasio nacho.Majibu ya anachokilalamikia naamini anayo, ni msomi amekua serikalini muda mrefu na kimataifa pia yupo vizuri.
wakati Kagera ikiwa ipo nafasi za juu alikuwepo na alikua ni msomi tayari siyo hadithi kwake.
Naamini kama Kagera imeshuka, hili sio jambo lililotokea tu asubuhi watu walipoamka, kuna sababu na zilipoanza aliziona.
Hizo shule za Musabe siyo zake ni za Mnyambo mmoja wa KyerwaKuna maneno Jiji Mwanza kuwa zile Musabe school zilizojengwa pale Buhongwa kua Mama T anamkono pale.
Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
Kwanza takwimu hizi ni feki, na Ummy kabla ya kuhamia wizara nyingine, mkoa wa kagera umeonyesha kufikia kiwango cha ukusanyaji kodi.Ebu fanya haraka urudishe ardhi ya Kyamyorwa watu wapate sehemu ya kulima. Milibinafsisha ardhi we na Mkapa nawe ukafakamia..
... sana! Ni ajabu kusikia mkoa wa Kagera ni mkoa masikini; ajabu mno! Mkoa ambao ni evergreen throughout the year kwanini uwe masikini? Dah!Mkoa wa Kagera unapaswa kuwa moja ya mikoa tajiri sana kwani upo katika eneo nyeti (strategic position) kwa kupakana na Uganda na Rwanda. Kinachotakiwa ni kufungua mipaka na kufanya biashara bila vikwazo.
Kwa sasa mkoa umefungwa kwa kisingizio cha usalama na wakimbizi. Viongozi na hasa wana Kagera wanapaswa kupigania uhuru zaidi wa kufanya biashara kwa kuuza na kununua toka kwa majirani.
Mengine tusilaumu Serikali. Wahaya wenyewe wakipata fursa wanajenga Masaki, Mikocheni na Mbezi na kwao hawarudi.Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wazalendo wote nchini na Duniani kwa Ujumla
Nimeambatanisha Waraka Kutoka kwa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu uduni wa Maendeleo kwa Mkoa wa Kagera
View attachment 2082264
View attachment 2082267
View attachment 2082268
View attachment 2082269
.Wahaya wengi wameinvest Dubai ambayo ni kama second home!