Betoratekha
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 317
- 915
Sijui madaktari waliwaachiaje muondoke maana kwa Akili hizi nisingeruhusu hata kidogo muondoke mirembe na huyo mliompeleka ningemwacha arudi home. Vichaa siku hizi ndio ma RC na Dc na nk hasara tupuAkili kama hizi mara ya mwisho kuziona ni Mirembe hospital pale tulipompeleka jamaa Fulani,sasa na leo naziona humu tena.
Ngoja niite gari la wagonjwa,tushapata mgonjwe mwingine humu.