ULe waraka wa kina Kinana na Mzee Makamba, umemsaidia Rais kuweza kurekebisha mambo mengi, na kuweza kupunguza wale watu waliojichukulia jukumu la kudhalilusha watu kwa jina la Raisibna Serekali.
Leo tunaona wale wote waliokuwa na sauti zankutisha, na hata waliokuwa wanafanya matendo ya uhujumu wa haki za watanzania, wanahaha na hawan sura tena.
Musiba yupo hoi na taabani, Makonda maji yapo shindoni, Ma RC wengi waliokuwa wanafanya kazi ovyo sio wao tena, Kabudi kimya.
Huo waraka pia umekisaidi chama cha CCM kurejea mikononi mwa wengi waliokijenga.
Waraka huu umetufumbua macho na umekuwa na faida kwa uongozi na umma.
Leo tunaona wale wote waliokuwa na sauti zankutisha, na hata waliokuwa wanafanya matendo ya uhujumu wa haki za watanzania, wanahaha na hawan sura tena.
Musiba yupo hoi na taabani, Makonda maji yapo shindoni, Ma RC wengi waliokuwa wanafanya kazi ovyo sio wao tena, Kabudi kimya.
Huo waraka pia umekisaidi chama cha CCM kurejea mikononi mwa wengi waliokijenga.
Waraka huu umetufumbua macho na umekuwa na faida kwa uongozi na umma.