gazeti la mtz lilifungiwa kwa sababu ya utovu wa nidhamu, kuhamasisha chuki, uchochezi na ubaguzi ktk nchi
Yaani haueleweki, umeandikwa kwa hasira ya watu fulani ili wafukuzwe kazi.
Uandishi mbovu, kujaza paragraph tu!
Hv nani atasoma waraka mrefu kama bajeti ya wizara fulani hadi unasahau yalioandikwa mwanzo?
Msomi anaandika mawazo makuu kwa paragraph chache na anaeleweka!
NO POINT AT ALL ACHA HABARI ZA UCHOCHEZI!
Nafikiri haya yanaweza kua majibu ya Mh.Rais anayoweza kutoa!
gazeti la mtz lilifungiwa kwa sababu ya utovu wa nidhamu, kuhamasisha chuki, uchochezi na ubaguzi ktk nchi
anataka kila mtu ajue kuwa kamwandikia rais.ujue jamaa yuko kimaslahi zaidi.Waraka kwa Rais?, mbona ameutuma kwenye JF?.
hahaha,kumbe na wewe umeishia njiani kama mie..jamaa anataka attentionNenda moja kwa moja kwenye hoja. hakuna haja ya kuzunguzunguka.
Ni kweli mkuu, jamaa hajatafakali kwa kina kilicho andikwa humu! Huku tunako kwenda sio pazuri kusema kweli, JK anapashwa kufanya kazi ya ziada kunusuru TAIFA letu.Mkuu Hugochavez ningeomba utafute muda kidogo usome yaliyoandikwa na urudi tena hapa JF. Watu kama nyie ndio mnakwamisha juhudi za Dr. Kikwete kwa kila anachojaribu kufanya .....
Waraka kwa Rais?, mbona ameutuma kwenye JF?.